Naomba kuuliza?

Naomba kuuliza?

Ricky Blair

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2023
Posts
552
Reaction score
1,120
Ivi kwanini watu ambao labda umesoma nao au mmejuana zamani ivi mkapoteana wana tabia ya kuomba namba then wanapotea tena au hawakutafuti? Wanaomba namba ya nn? Au ndo hii salam mpya Km Hamna la kuongea basi kujifanya nitakutafuta then hata akikutafuta one or 2 message uyo humuoni tena😳😳😳 Sasa unaomba namba ya nini? 😔😔😔 c salimianeni tu then poteza.
 
Usipotafutwa maana yake huna maajabu mjini... Tafuta pesa mdogo angu utatafutwa hadi na wachumba zako wa utotoni... Utani pemben mimi kiukweli siwezi kumuomba mtu namba hata awe nani, watu wanahisi Nina dharau ila kiukweli kumuomba mtu namba ni kujishushia thamani tena ukute anaonekana kukuzidi vitu flani...
 
Ivi kwanini watu ambao labda umesoma nao au mmejuana zamani ivi mkapoteana wana tabia ya kuomba namba then wanapotea tena au hawakutafuti? Wanaomba namba ya nn? Au ndo hii salam mpya Km Hamna la kuongea basi kujifanya nitakutafuta then hata akikutafuta one or 2 message uyo humuoni tena Sasa unaomba namba ya nini? c salimianeni tu then poteza.
Huna issue wewe...mfxxxx...CHOKO MLEGEZO...nikae nalinamba lako la nini? ..bado unatembea kwĆ  miguu....utaniambia nini...tatantaaaa...haikatai....kama vipi fresh tu.....unaweza kufuta namba yangu,....and by the way...hata siku ile sikuweza kuisave namba Yako cause hata jina nshakusahau..nikaogopa kukuuliza!..mshamba mmoja wewe wa morogoro matombo huko!!! Utaniambia nini...Mfxxxxxx..boya mmoja , bado unatembea na mibahasha mkononi kutafuta ajira!!!
 
Huna issue wewe...mfxxxx...CHOKO MLEGEZO...nikae nalinamba lako la nini? ..bado unatembea kwĆ  miguu....utaniambia nini...tatantaaaa...haikatai....kama vipi fresh tu.....unaweza kufuta namba yangu,....and by the way...hata siku ile sikuweza kuisave namba Yako cause hata jina nshakusahau..nikaogopa kukuuliza!..mshamba mmoja wewe wa morogoro matombo huko!!! Mfxxxxxx
Duh hii ni aje

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ivi kwanini watu ambao labda umesoma nao au mmejuana zamani ivi mkapoteana wana tabia ya kuomba namba then wanapotea tena au hawakutafuti? Wanaomba namba ya nn? Au ndo hii salam mpya Km Hamna la kuongea basi kujifanya nitakutafuta then hata akikutafuta one or 2 message uyo humuoni tena😳😳😳 Sasa unaomba namba ya nini? 😔😔😔 c salimianeni tu then poteza.
Huwa nikikutana nae siombi namba labda kama alikuwa mshikaji sana na siombi nambab yeye ndio aombe
 
Mi ntamwomba yule niliekuwa na story nae basi mambo ya kuanza kuungwa ktk magroup ya michango sitaki tukutane umo ltk groups za shule baasi
 
Kuna mtu hapo juu ka comment kuwa ukiona hupigiwi baada ya kuchukua namba basi elewa huna thamani/matumizi kwao.

Binadamu tumeumbwa na ubinafsi wa kupenda kupata manufaa katika kila jambo.

Mlipokuwa shule mlikuwa marafiki sababu mlikuwa eneo moja na mishe zenu ni moja (kusoma).

Kitendo cha kupotezana kila mtu anapata watu wengine wanaendana kimishe na kimaisha.

Kosa kubwa ambalo binadamu tunalo ni kupenda kutathmini kwa muonekano.

Ikitokea umekutana na mtu uliepotazana kwa muda jambo la kwanza bila hata kudhamiria ni ku assess maisha yake kupitia muonekano.

Ukiona mtu anaonekana ana hali duni automatically unajijengea hali ya kuwa atakuwa mzigo kwako kupitia vizinga. Akionekana mambo safi basi unajipa faraja kuwa atakupa michongo. Hivyo kutaka kuendeleza mawasiliano. Ila kumbuka huko kuhukumu kimuonekano hata huyo mwenzio keshakufanyia, hivyo kutokana na hali yako ndipo kutaamua jinsi gani na yeye atarudisha mawasiliano kwako.
Ukiona umeliwa bati au unajibiwa kwa nyodo elewa ushaonekana miyeyusho.

Chukulia ukienda sehemu kutafuta kazi ukakutana na rafiki yako wa zamani mliosoma wote. Hali utakayokutana nayo kwake hapo kazini itaamua kwa kiasi kikubwa jinsi gani mawasiliano yenu yatakavyokuwa.

Ikiwa umemkuta kama Boss hapo kazini basi lazima wewe ndie utakaekuwa wa kumtafuta na kukumbushia uswahiba wenu hii yote kwa matumaini kuwa atakuwa msaada kwako kupata kazi.
Na uwezekano wa yeye kukujibu kwa mapozi ni mkubwa.

Jifunze kujithamini mwenyewe katika maisha. Usiruhusu hali ya mwingine iamue jinsi gani utam treat huyo mtu.

Ukituma msg mbili bila majibu yenye bashasha basi elewa kuwa ushafanyiwa assessment kuwa huna manufaa. Futa namba endelea kuishi maisha yako.
 
Wanakuomba namba ili wawe wanakuona watsup status kuchora hatua zako za kimaisha
Ktk vitu vimenipita na sina mzuka ni status na kujipost mitandaoni. Yaani ziwezagi kujipost mitandaoni wala hayo mambo ya status naona kama utoto.

Whasap ndo nimeweka picha tu profile
 
Kuna mtu hapo juu ka comment kuwa ukiona hupigiwi baada ya kuchukua namba basi elewa huna thamani/matumizi kwao.

Binadamu tumeumbwa na ubinafsi wa kupenda kupata manufaa katika kila jambo.

Mlipokuwa shule mlikuwa marafiki sababu mlikuwa eneo moja na mishe zenu ni moja (kusoma).

Kitendo cha kupotezana kila mtu anapata watu wengine wanaendana kimishe na kimaisha.

Kosa kubwa ambalo binadamu tunalo ni kupenda kutathmini kwa muonekano.

Ikitokea umekutana na mtu uliepotazana kwa muda jambo la kwanza bila hata kudhamiria ni ku assess maisha yake kupitia muonekano.

Ukiona mtu anaonekana ana hali duni automatically unajijengea hali ya kuwa atakuwa mzigo kwako kupitia vizinga. Akionekana mambo safi basi unajipa faraja kuwa atakupa michongo. Hivyo kutaka kuendeleza mawasiliano. Ila kumbuka huko kuhukumu kimuonekano hata huyo mwenzio keshaufanya hivyo kutokana na hali yako ndipo kutaamua jinsi gani na yeye atarudisha mawasiliano kwako.
Ukiona umeliwa bati au unajibiwa kwa nyodo elewa ushaonekana miyeyushe.

Chukulia ukienda sehemu kutafuta kazi ukakutana na rafiki yako wa zamani mliosoma wote. Hali utakayokutana nayo kwake hapo kazini itaamua kwa kiasi kikubwa jinsi gani mawasiliano yenu yatakavyokuwa.

Ikiwa umemkuta kama Boss hapo kazini basi lazima wewe ndie utakaekuwa wakumtafuta na kukumbushia uswahiba wenu hii yote kwa matumaini kuwa atakuwa msaada kwako kupata kazi.
Na uwezekano wa yeye kukujibu kwa mapozi ni mkubwa.

Jifunze kujithamini mwenyewe katika maisha. Usiruhusu hali ya mwingine iamue jinsi gani utam treat huyo mtu.

Ukituma msg mbili bila majibu yenye bashasha basi elewa kuwa ushafanyiwa assessment kuwa huna manufaa. Futa namba endelea kuishi maisha yako.
Katika vitu sipendi ni kujipendekeza kwa mtu hata awe nani kujipendekeza nimekataa, yani nikitane na ww nikuombe namba !!! Haiwezekani.sababu ya yote ni--

Nina ndugu zangu watoto wa baba mkubwa wa 4 wote wa kike tulikua pamoja na wamenilea nikiwa mdogo. Mmoja ni mkubwa ananizidi zaid ya miaka10+ na wa pili pia ila watatu na wa 4 hatutofautiana sana kiumri.

Hawa ndugu zangu tulikua pamoja kabisa ktk nyumba 1 na wamenilea kwasababu nilikua mdogo, mpaka nafika darasa la 6 hao wakubwa wakawa wameshafika chuo na wakamaliza hao wengine walikua nyumbani bado secondary.

Wazazi wangu wanakuja kila mara kuniona baada ya kufika darasa 6 wakaamua kunichukua ili niishi nao maana wazazi waliachana nikiwa mdogo walipo rudiana wakanichukua hivo nikawa mbali na hawa ndugu zangu.

Ila tulikua tunawasiliana, hata wakiwa likizo nilikua naenda kule nakaa ila baada ya wao kupata maisha wamemaliza chuo wakakata mawasliano wakahamia mikoani, nilikua secondary nikawa nawatafuta ndugu zangu kuwajulia hali ila nikawa sipati ushirikiano nilivofika form 4 ndo nikagundua kama najipendekeza na mimi nikawapotezeaga.

Saiv wote tupo mkoa mmoja kwa miaka mingi lkn hakuna mtu mwenye muda na mwezie naskiaga tu story kwa mzee mbona hauendi kwa ndugu zako wanapiga sim huku hauajwai kufika kuwaona!! Nachomjibu mimi mzee kwann wao wasinitafute niwaelekeze napoishi waje wanisalimie?
 
Back
Top Bottom