Naomba kuuliza kuhusu kuthibitisha vyeti

Naomba kuuliza kuhusu kuthibitisha vyeti

Mimi tangu nilipoangalia kwa umakini vyeti vyangu na kuona maneno THIS IS TO CERTIFY THAT......... huwa sipeleki kwa mahakimu tena.Mimi hapa Mahakama ya mwanzo Buguruni walikula hela yangu lkn na washikaji zangu tukiomba wote hawajaenda kule bado wakaitwa usaili.
Kucertify vyeti kwa mihuri ya mahakimu kwangu ni km hanasa.

This is to CERTIFY THAT.... malizia uone kama inamaanisha mtu au cheti.
 
utatumia pesa nying manake zinahitajikaga sana...gonga muhuri kwenye original afu utakua unatoa kopi tu utakapohitaji..haina madhara na ni best way ya kutunza hivyo vijisenti

Acha kumdanganya mwenzio mkuu, its absolutely not accepted null and void ab initio.
 
Habarini wapendwa!

Mimi naomba kuuliza katika mambo ya certify vyeti, ni kwamba unathibitisha zile copy ambazo unatuma ktk application , au inakuwaje?
Vyeti vilivyopatikana ndani au nje ya nchi?
 
utatumia pesa nying manake zinahitajikaga sana...gonga muhuri kwenye original afu utakua unatoa kopi tu utakapohitaji..haina madhara na ni best way ya kutunza hivyo vijisenti
Cheti cha nchi gani hicho kinachoruhusiwa kupigwa muhuri wa mitaani kinyume na wa Mamlaka husika iliyotoa cheti hicho?
 
Habarini wapendwa!

Mimi naomba kuuliza katika mambo ya certify vyeti, ni kwamba unathibitisha zile copy ambazo unatuma ktk application , au inakuwaje?
Mara zote mtu anapoomba nafasi ya ajira anatakiwa kuandika barua akiambatanisha CV yake na kusapoti CV yake kwa nakala ya vyeti vyake. Wahusika baada ya kupitia ombi lake na kuvutiwa na CV yake ndipo huomba kukutana naye kwa mahojiano zaidi.

Siku ya mahojiano ya ana kwa ana "interview" ndipo muhusika anapotakiwa kwenda na vyeti vyake halisi "original". Period
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom