KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,293
Sa inakuaje huyajui afu uwe na uwezo wa kuroga!Njoo pm nitumie majina yako halisi matatu na la mama yako ikishindikana siingii jf tena
Acha kusema hivyo hayajakukuta ya dunia
Chezea babu ww
Jina feki, hujulikani unaishi nyumba gani, picha feki, nguo zako kuzipata vigumu..sasa hapo utarogwa vipi?Utasubiri sana! Ni sawa na kusubiri embe chini ya mwarobaini.
Mie mwenyewe hapa nilipo bado nasubiri kurogwa toka nitoe ofa humu ndani kwa yeyote aliye mchawi aniroge na ni miaka sasa ishapita na hamna lolote.
Sasasana utachokipata ni vitisho hewa tu.
Uchawi ni dhana ya kufikirika. Kiuhalisia haupo.
Hakuna uchawiJina feki, hujulikani unaishi nyumba gani, picha feki, nguo zako kuzipata vigumu..sasa hapo utarogwa vipi?
Mkuu upo tayari kwa gharama zako, nikuconect na mtaalam..halafu ikishindikana nakurudiahia mimi?Hakuna uchawi
Watumie wakishindwa tujueHaya ndo magirini wayatumiayo hao sijui ndo wachawi.
Eti lete majina yako halisi na la mama yako.....uzushi mtupu.
Mpe details zangu mkuu, mwambie anitoweshe kabisa kama anawesa au atoweshe kichwa changu kibakie kiwili wili.Huku tanga nina jamaa yangu anaweza kuupoteza uume wako ukapotea, ikawa hamna kitu. Hata ukitafuta nyeti zako huzioni, mpaka uwepo uso kwa uso anakufanyia mambo.
-True story, ni rafiki yangu na namba zake za simu ninazo.
Nashukuru.Nimeshakuloga
Mkuu usiseme hvy nimeshuhudia watu wakitupiwa majini wakihangaika na kutaabikanishatoa majina tayari kiongozi, kazi kwao. Nilitegemea hadi sasa niwe siandiki hapa nashangaa, uchawi haupo kwa kweli.
Mkuu naona una plain papers, tafadhali naomba karatasi sita nataka niandike maombi ya kazi.Haya ni majina yako kamili au unetumia majina ya MTU mwingne.?
Naomba ulete mrejesho baada ya week moja
Mbona una sound kama usharogwa tayari..Hauko sawa kiongozi!
Yaani nigharamie mwenyewe kurogwa?Mkuu upo tayari kwa gharama zako, nikuconect na mtaalam..halafu ikishindikana nakurudiahia mimi?
-uchawi wa kuondolewa nyeti ya uume halafu inapotea haionekani???
Basi naomba umroge Dikteta uchwara maana detail zake zinajulikana na kila mtuunaitwa nani ?unaish wapi au nitumie picha yako nikushughulikie faster
mi ni mtaalam hayo majin si yako na mama yako haitwi ester please usitujaribu nduguNaitwa John Nyambega Maki.
Haya kazi kwako. ukitaka na mengine kama umri nakupa, nina miaka 28 januari 31 natimiza 29, ni mfanyakazi wa shirika la serikali,mama anaitwa Ester. Tuko watano kwetu,two ladies 3 gents.
Mengine sasa utayajua mwenyewe maana majini yako yatakwqmbia kila kitu ingawa nimeyasaidia /nimeyarahisishia kazi maan yalitakiwa kukuambia kila kitu bila hata mm kukuambia