Shemtibuko
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 728
- 1,010
Mkuu ungesema pia unampiga kirogo gani.. Unampa kipapai au unamfanya chuma ulete wako?Haya ni majina yako kamili au unetumia majina ya MTU mwingne.?
Naomba ulete mrejesho baada ya week moja
Mkuu ungesema pia unampiga kirogo gani.. Unampa kipapai au unamfanya chuma ulete wako?Haya ni majina yako kamili au unetumia majina ya MTU mwingne.?
Naomba ulete mrejesho baada ya week moja
Unahitaji kutibiwa Head trauma, muda mwengine mshahara ukiwa mdogo uwezo wa kufikiri hupungua.Naomba kwa heshima na taadhima kurogwa, kama wewe ni mchawi au una ndugu yako mchawi mwambie naomba aniroge.
Mara kwa mara nimekua nikiwaambia watu humu na nje ya humu kua uchawi haupo na kam kuna mchawi naomba aniroge bado sijarogwa.
Kwa wale mnaoamini/kujua/kua na uhakika uchawi upo nawaombeni kwa heshima na taadhima mniroge jinsi mtakavyoona inawapendeza.
Wachawi, this is a soft ball i tossed to you, make sure you score the best goal, what hell of a chance to you? Mbuzi amejileta kwa muuza supu, kazi kwenu.
Una nini mpaka urogwe? Wenye fani wanajua dua la kuku halimpati mwewe.Naomba kwa heshima na taadhima kurogwa, kama wewe ni mchawi au una ndugu yako mchawi mwambie naomba aniroge.
Mara kwa mara nimekua nikiwaambia watu humu na nje ya humu kua uchawi haupo na kam kuna mchawi naomba aniroge bado sijarogwa.
Kwa wale mnaoamini/kujua/kua na uhakika uchawi upo nawaombeni kwa heshima na taadhima mniroge jinsi mtakavyoona inawapendeza.
Wachawi, this is a soft ball i tossed to you, make sure you score the best goal, what hell of a chance to you? Mbuzi amejileta kwa muuza supu, kazi kwenu.
Ya kwangu kiongozi. Kurogwa tena kuna muda? Nilijua ntarogeka leo leo kumbe hadi wiki iishe?Haya ni majina yako kamili au unetumia majina ya MTU mwingne.?
Naomba ulete mrejesho baada ya week moja
Naomba kwa heshima na taadhima kurogwa, kama wewe ni mchawi au una ndugu yako mchawi mwambie naomba aniroge.
Mara kwa mara nimekua nikiwaambia watu humu na nje ya humu kua uchawi haupo na kam kuna mchawi naomba aniroge bado sijarogwa.
Kwa wale mnaoamini/kujua/kua na uhakika uchawi upo nawaombeni kwa heshima na taadhima mniroge jinsi mtakavyoona inawapendeza.
Wachawi, this is a soft ball i tossed to you, make sure you score the best goal, what hell of a chance to you? Mbuzi amejileta kwa muuza supu, kazi kwenu.
nishatoa majina tayari kiongozi, kazi kwao. Nilitegemea hadi sasa niwe siandiki hapa nashangaa, uchawi haupo kwa kweli.Kwani kakuambia yeye ni mchawi.
Yy anataka majina ayapeleke kwa mganga halafu uone kitakachotokea
Nishatukana na kuwapiga wazee wengi tu kuanzia shinyanga huko simiyu,tabora,sumbawanga, bagamoyo na nikawapa go ahead ya kuniroga bado sijarogeka hadi sasa. wewe kama unamjua mzee mchawi mwambie aniroge.Nenda Kwamsisi ya Mkata Handeni ukatukane wazee wa pale kijijini, maombi yako yatashughulikiwa.
tuma hapa jina lako na mama yako tukushughulikie uamini//Naomba kwa heshima na taadhima kurogwa, kama wewe ni mchawi au una ndugu yako mchawi mwambie naomba aniroge.
Mara kwa mara nimekua nikiwaambia watu humu na nje ya humu kua uchawi haupo na kam kuna mchawi naomba aniroge bado sijarogwa.
Kwa wale mnaoamini/kujua/kua na uhakika uchawi upo nawaombeni kwa heshima na taadhima mniroge jinsi mtakavyoona inawapendeza.
Wachawi, this is a soft ball i tossed to you, make sure you score the best goal, what hell of a chance to you? Mbuzi amejileta kwa muuza supu, kazi kwenu.
Soma post zangu ziko humu nyingi nikileta mrejesho wa wake za watu naowatafuna kila uchao na hakuna kitu kama hicho. Kama unadhani unadhani natania kamuwekee dawa ya kunasana mkeo kisha uniletee nimtafune akuache na dawa yako.Kalale na. Mke wa mtu unate utakuwa umelogwa tayari
Soma post za mwanzo mwanzo kuna mwenzako ameomba nimempa majina yote ya ukoo.tuma hapa jina lako na mama yako tukushughulikie uamini//
Kwa maneno tu hutoweza kurogwa hivyo nenda sehemu zenye uchawi kama ni wewe ni dume ukatembee na mke wa mtu au kama ni wewe ni jike ukatembee na mume wamtuNaomba kwa heshima na taadhima kurogwa, kama wewe ni mchawi au una ndugu yako mchawi mwambie naomba aniroge.
Mara kwa mara nimekua nikiwaambia watu humu na nje ya humu kua uchawi haupo na kam kuna mchawi naomba aniroge bado sijarogwa.
Kwa wale mnaoamini/kujua/kua na uhakika uchawi upo nawaombeni kwa heshima na taadhima mniroge jinsi mtakavyoona inawapendeza.
Wachawi, this is a soft ball i tossed to you, make sure you score the best goal, what hell of a chance to you? Mbuzi amejileta kwa muuza supu, kazi kwenu.