Naomba kurogwa

Naomba kurogwa

Mimi hapa nilipo nimerogwa Mwenzako Ila hata siwaz Sana cha msingi napumua na Naimani MUNGU ndiye atakayenichukua yeye
 
Fumba macho alafu piga kelele nyiingi bila kupmzika kama dakika mbili piga mateke mavitu yako ya ndani watu wakija kimbia huku unapiga kelele alafu ukirejea utaskia wanasema jamaa chizi huyu utakuwa nimekupa mfano mfupi wa kudata mkuu •
 
Aiise na utarongwa kweli hao watu wapo nanina omba uamini hivyo.
 
Mtu mzito,mshanajr,

naomba huyu bwana awe case study kwetu lol

tuambieni yuko wapi?,anafanya nini? na nani wachawi wake?LOL

kweli mkithibitisha na yeye akakubali,mtapata wafuasi wengi,lol,
Dada Rebecca mi nijuavyo uchawi haufanyi kazi hivyo ni sawa na kumwambia muuaji wa siri akuue hadharani
 
Naomba kwa heshima na taadhima kurogwa, kama wewe ni mchawi au una ndugu yako mchawi mwambie naomba aniroge.

Mara kwa mara nimekua nikiwaambia watu humu na nje ya humu kua uchawi haupo na kam kuna mchawi naomba aniroge bado sijarogwa.

Kwa wale mnaoamini/kujua/kua na uhakika uchawi upo nawaombeni kwa heshima na taadhima mniroge jinsi mtakavyoona inawapendeza.

Wachawi, this is a soft ball i tossed to you, make sure you score the best goal, what hell of a chance to you? Mbuzi amejileta kwa muuza supu, kazi kwenu.
Kalale na. Mke wa mtu unate utakuwa umelogwa tayari
 
Mtu mzito,mshanajr,

naomba huyu bwana awe case study kwetu lol

tuambieni yuko wapi?,anafanya nini? na nani wachawi wake?LOL

kweli mkithibitisha na yeye akakubali,mtapata wafuasi wengi,lol,
Unanifurahisha sana mkuu yaan hata ukilia utaandika lol.....lol
 
Naitwa John Nyambega Maki.

Haya kazi kwako. ukitaka na mengine kama umri nakupa, nina miaka 28 januari 31 natimiza 29, ni mfanyakazi wa shirika la serikali,mama anaitwa Ester. Tuko watano kwetu,two ladies 3 gents.

Mengine sasa utayajua mwenyewe maana majini yako yatakwqmbia kila kitu ingawa nimeyasaidia /nimeyarahisishia kazi maan yalitakiwa kukuambia kila kitu bila hata mm kukuambia
Mbona naona umesharogwa tayari. ..
 
Back
Top Bottom