Wewe uko gizani kabisa...... Ni ngumu hata kukusaidia. Niishie hapo!naomba kujua kuanguka kwa shilingi na ukuaji wa uchumi wetu kuna mahusiano gani na ukuaji wa uchumi .mimi najua shilingi ikianguka na uchumi unakuwa umeanguka? je usahihi wake uko wapi kwa wale wataalamu wa uchumi tusaidieni tuelewe
Wewe ndiyo kipofu zaidi ni heri hata yeye anaweza ona mwangaWewe uko gizani kabisa...... Ni ngumu hata kukusaidia. Niishie hapo!
Si ndiyo maana kauliza ili wewe uliye nuruni umsaidie!! Yaani umetoka huko utokako kuja kusema ni ngumu kumsaidia?Wewe uko gizani kabisa...... Ni ngumu hata kukusaidia. Niishie hapo!
Akili za wachumia tumbo ni ngumu sana watu wa sampuli hizo kuwa na ufahamu wa mamboSi ndiyo maana kauliza ili wewe uliye nuruni umsaidie!! Yaani umetoka huko utokako kuja kusema ni ngumu kumsaidia?
Wewe uko gizani kabisa...... Ni ngumu hata kukusaidia. Niishie hapo!
Hahahaa...... Mbwiga hata ukisingizia ni typing error bado tutawashangaeni. Duh Ufipa ni weupe kabisa!Wewe ndiyo kipofu zaidi ni heri hata yeye anaweza ona mwanga
Ni lini usd 1 ilikuwa sawa na sh 22100 au 23000?!!.......Mmelewa kisusio au mbege!Ndio umsaidie atoke huko kwenye giza. Kheri yako ww uliye kwenye Mwanga.
Kuandika 22,100 badala 2,210 au 23,000 badala ya 2,300 kwa kweli inawezekana kabisa ikawa ni Typo!Hahahaa...... Mbwiga hata ukisingizia ni typing error bado tutawashangaeni. Duh Ufipa ni weupe kabisa!
samahani,jamani nimekosea kuandika shilingi badala ya kuandika 2100/=na 2300/= nimeshindwa ku -kusahihisha .ila itakuwa nimeeleweka jamaniWewe uko gizani kabisa...... Ni ngumu hata kukusaidia. Niishie hapo!
Jinga kabisa weweWewe uko gizani kabisa...... Ni ngumu hata kukusaidia. Niishie hapo!
Na kwenye ruzuku mnakosea hivyo hivyo mjukuu wa sheikh Nzowa!Kuandika 22100 badala 2210 au 23,000 badala ya 2300 kwa kweli inawezekana kabisa ikawa ni Typo!
Umeandka kwa upotoshaj.dola moja sio elfu ishirin na tatu Bali ni elfu mbili mia tatunaomba kujua kuanguka kwa shilingi na ukuaji wa uchumi wetu kuna mahusiano gani na ukuaji wa uchumi .mimi najua shilingi ikianguka na uchumi unakuwa umeanguka? je usahihi wake uko wapi kwa wale wataalamu wa uchumi tusaidieni tuelewe
nashukuru kwa kunielewa pia nishapost kukiri nimekosea,na nilishindwa kufanya mashahihisho kwenye post yanguKuandika 22,100 badala 2210 au 23,000 badala ya 2300 kwa kweli inawezekana kabisa ikawa ni Typo!
Wajinga wako Segerea werevu wapo Kipawa mida hii wanapokea chombo kwa hewa Airbus!Jinga kabisa wewe
Inshaalah Mwenyezi Mungu atakupa wepesi ujue kinachopiganiwa. Unajua ni kama yule aliyekuwa anahesabu samaki wenye mimba baharini!!Na kwenye ruzuku mnakosea hivyo hivyo mjukuu wa sheikh Nzowa!