Naomba kujuzwa zaidi juu ya teknolojia ya taa za barabarani

de98

JF-Expert Member
Aug 13, 2017
732
742
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza

Napenda kujua na kufahamu teknolojia ya kuwasha zile taa za barabarani hasa zile zinazotumia solar battery katika barabara zetu nyingi hapa Tanzania.

Natanguliza shukrani.
 
kwa ninavyojua mm inatumia photocell, hizo photocells hupunguza ukinzani wake kadiri mwanga unavyoongezeka, japo kuna sensor's nyingi ambazo zinaweza kufanya kazi hiyo

Hapo ni kama ulimaanisha hizo za mwanga ila za kuongozea magari ina njia nyingine tofauti, zenyewe zinakifaa ambacho inawekwa program kutoka kwenye compyuta, program hiyo ndo inayosema taa ipi iwake na kwa muda gani au katika hali ipi cause kuna taa ambazo zinaweza kucheki jam ipo upande upi, ingawa sijakutana nayo nje ya makaratasi
 
Kwani pale solar ina kazi gani zaidi ya kuchaji battery kwa ajili ya matumizi ya traffic light as source of energy!

ᵃʳᵉᵉᵐ
 
Bila shaka umemaanisha zile solar powered light poles za barabarani zinazojiwasha giza likiingia na kujizima kunapokucha just automatically...

Kuna uzi wake ushaletwaga humu japo siwezi kukujibu kimapana sababu mechanism yake inavyofanya kazi siku inote vizuri.

Though I remember the one who gave clear explanation talked of diodes and transistors. Kwa msaada zaidi ningeomba uutafute,utakupa mwanga kabisa.
 
Bila shaka umemaanisha zile solar powered light poles za barabarani zinazojiwasha giza likiingia na kujizima kunapokucha just automatically... Kuna uzi wake ushaletwaga humu japo siwezi kukujibu kimapana sababu mechanism yake inavyofanya kazi siku inote vizuri.Though I remember the one who gave clear explanation talked of diodes and transistors.Kwa msaada zaidi ningeomba uutafute,utakupa mwanga kabisa.
Shukrani mkuu,
 
kwa ninavyojua mm inatumia photocell, hizo photocells hupunguza ukinzani wake kadiri mwanga unavyoongezeka, japo kuna sensor's nyingi ambazo zinaweza kufanya kazi hiyo

Hapo ni kama ulimaanisha hizo za mwanga ila za kuongozea magari ina njia nyingine tofauti, zenyewe zinakifaa ambacho inawekwa program kutoka kwenye compyuta, program hiyo ndo inayosema taa ipi iwake na kwa muda gani au katika hali ipi cause kuna taa ambazo zinaweza kucheki jam ipo upande upi, ingawa sijakutana nayo nje ya makaratasi
Umenikumbusha Electronics miaka hiyo.
 
Bila shaka umemaanisha zile solar powered light poles za barabarani zinazojiwasha giza likiingia na kujizima kunapokucha just automatically... Kuna uzi wake ushaletwaga humu japo siwezi kukujibu kimapana sababu mechanism yake inavyofanya kazi siku inote vizuri.Though I remember the one who gave clear explanation talked of diodes and transistors.Kwa msaada zaidi ningeomba uutafute,utakupa mwanga kabisa.
Zinatumia photodiode kama switch, ambapo kama giza litaingia, resistance inaongezeka na kuruhusu umeme uliohifadhiwa kutumika kwenda kuwasha taa and viceversa
 
kwa ninavyojua mm inatumia photocell, hizo photocells hupunguza ukinzani wake kadiri mwanga unavyoongezeka, japo kuna sensor's nyingi ambazo zinaweza kufanya kazi hiyo...
Hizo taa za barabarani kuna sehemu wamezi set kikuda sana Red/Yellow dakika 2,Green Sekunde 30.

Hapo foleni yake haifai kabisa.
 
Taa mpya za barabarani nyingi ni za solar na uwa zimewekewa sensor ya kutambua kiza.kwa iyo ukienda hata mchana ukifunika tu basi lazima iwake maana sensor itakuwa imetambua kiza.

Pia kuna njia ya pili ambayo wenzetu wazungu wanatumia sana.kuna kifaa kinaitwa(Light Timer), kazi yake kubwa inakuwezesha kuset muda ambapo taa itawaka na kuset muda ambapo taa itazima.kwa iyo unaweza kuset taa iwake kila inapofika saa 1 jion na kuzima saa 12 asubui
 
Taa mpya za barabarani nyingi ni za solar na uwa zimewekewa sensor ya kutambua kiza.kwa iyo ukienda hata mchana ukifunika tu basi lazima iwake maana sensor itakuwa imetambua kiza.

Pia kuna njia ya pili ambayo wenzetu wazungu wanatumia sana.kuna kifaa kinaitwa(Light Timer), kazi yake kubwa inakuwezesha kuset muda ambapo taa itawaka na kuset muda ambapo taa itazima.kwa iyo unaweza kuset taa iwake kila inapofika saa 1 jion na kuzima saa 12 asubui
Shukrani mkuu kwa majibu yako
 
Bila shaka umemaanisha zile solar powered light poles za barabarani zinazojiwasha giza likiingia na kujizima kunapokucha just automatically...

Kuna uzi wake ushaletwaga humu japo siwezi kukujibu kimapana sababu mechanism yake inavyofanya kazi siku inote vizuri.

Though I remember the one who gave clear explanation talked of diodes and transistors. Kwa msaada zaidi ningeomba uutafute,utakupa mwanga kabisa.
kama sio mtu wa electronics ukianza kuzunvumzia diodes and tansistors utamchanganya maana inabidi uelezee diode ni nini na transistor ni na setup nzima inakuwaje ni somo ndefu sana, labda afafanue kam anatambua hivyo vitu basi tutampa setup nzima inakuwa theoretically
 
Hayo madude siyaelewi kabisa
kama sio mtu wa electronics ukianza kuzunvumzia diodes and tansistors utamchanganya maana inabidi uelezee diode ni nini na transistor ni na setup nzima inakuwaje ni somo ndefu sana, labda afafanue kam anatambua hivyo vitu basi tutampa setup nzima inakuwa theoretically
 
Hayo madude siyaelewi kabisa
basi tuishie kwenye lugha ya kawaida tu kuwa kuna kifaa ambacho kinaongeza ukinzani dhidi ya umeme kadiri mwanga unavyofifia na hupunguza ukinzani wake kadiri mwanga unavyoongezeka, yaani wakati wa mwanga mkali yenyewe inapitisha umeme wakati wa giza inakuwa haipitishi umeme, so setup inafanywa kutumia sifa hiyo
 
Shukran mkuu
basi tuishie kwenye lugha ya kawaida tu kuwa kuna kifaa ambacho kinaongeza ukinzani dhidi ya umeme kadiri mwanga unavyofifia na hupunguza ukinzani wake kadiri mwanga unavyoongezeka, yaani wakati wa mwanga mkali yenyewe inapitisha umeme wakati wa giza inakuwa haipitishi umeme, so setup inafanywa kutumia sifa hiyo
 
Back
Top Bottom