mafoleni
JF-Expert Member
- Nov 18, 2016
- 220
- 371
Ndugu zangu,
Naomba msaada kwa anaeelewa taratibu za kuandikisha watoto mali kisheria. Mimi nina kajumba kangu ila nataka niwaandikishe wanangu wawili. taratibu zipoje? au unachukua tu karatasi unaandika kama wosia.
Nisaidieni jaman
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba msaada kwa anaeelewa taratibu za kuandikisha watoto mali kisheria. Mimi nina kajumba kangu ila nataka niwaandikishe wanangu wawili. taratibu zipoje? au unachukua tu karatasi unaandika kama wosia.
Nisaidieni jaman
Sent using Jamii Forums mobile app