Nataka mpya mkuu...Ila hiyo naked au dirty sio mjuzi wa vitu hivyo mkuu maana yake sijuiUsed au mpya? Unapenda naked, sport au dirty?
Tafuta honda clickHabari wanajukwaa naomba kufaham pikipiki nzuri mpya kwa matumizi binafsi ya kwenda ofisini na mizunguko ya kawaida weekend. Hasa pkpk za kijapan ambazo nadhani ni durable bajeti yangu ni 3.2-3.5 million.
Karibuni kwa mani yenu.
Kwa mpya chukua tu Click au zile ndogo 125.Nataka mpya mkuu...Ila hiyo naked au dirty sio mjuzi wa vitu hivyo mkuu maana yake sijui
Sifa ya hizo click mkuu sizifahamKwa mpya chukua tu Click au zile ndogo 125.
Sifa yake chief
Hizo hapana nataka Japanese technologyBoxer
Kama upo town. Hafu inaonekana hauna ujuzi wa pikipiki nashauri nenda mitaa ya Kariakoo, mtaa wa msimbazi ile pembeni ya njia ya mwendokasi wanauza pikipiki sana. Basi we pita mule mdogo mdogo ukiona duka ingia fanya window shopping. Pikipiki ni vema ukaikalia kabis andio utajua inakufaa au haikufai. Kuna factor za urefu na unene, na muonekano pia wa pkpikiSifa ya hizo click mkuu sizifaham
Labda durability yake, fuel consumption, na upatikanaji wa spare na Labda kwa Dsm nitazipata maeneo gani
Ybr ni ndio aina gani hiyo
Nashukuru kwa ushauriIkumbukwe pkpk zinachangia kuvunja watu miguu na kuua kwa ajali za kila leo. Nakushauri hiyo hela yako ongezea nunua hata kigari cha 650cc uwe salama japo kwa asilimia kadhaa. Ni ushauri tu.View attachment 1724321
OK poa nitapita pita jtatu Nashukuru chiefKama upo town. Hafu inaonekana hauna ujuzi wa pikipiki nashauri nenda mitaa ya Kariakoo, mtaa wa msimbazi ile pembeni ya njia ya mwendokasi wanauza pikipiki sana. Basi we pita mule mdogo mdogo ukiona duka ingia fanya window shopping. Pikipiki ni vema ukaikalia kabis andio utajua inakufaa au haikufai. Kuna factor za urefu na unene, na muonekano pia wa pkpiki
Pikipiki za moto sana kabisa na mm nilikuepo kwenye hao 35,000 elfu nashukuru Mungu nipo fresh now.Ikumbukwe pkpk zinachangia kuvunja watu miguu na kuua kwa ajali za kila leo. Nakushauri hiyo hela yako ongezea nunua hata kigari cha 650cc uwe salama japo kwa asilimia kadhaa. Ni ushauri tu.View attachment 1724321
Yamaha ybr125 ni mjapani, zinatumiwa Sana na mashirika kama ya tumbaku na hata serikaliniYbr ni ndio aina gani hiyo