Naomba kujuzwa mazao yanayovunwa kwa wingi mwezi Machi - Aprili mkoani Morogoro

Bhang pure

Member
Feb 5, 2021
10
8
Habarini Wana JF

Naomba kufahamishwa juu ya mazao yanayovunwa kwa wingi mkoani Morogoro kwa mwezi March-April, pia na vijiji ambavyo mazao hayo yanapatikana kwa wingi.

Natanguliza shukrani.
 
Habarini Wana JF

Naomba kufahamishwa juu ya mazao yanayovunwa kwa wingi mkoani Morogoro kwa mwezi March-April, pia na vijiji ambavyo mazao hayo yanapatikana kwa wingi.

Natanguliza shukrani.
Kwa kilimo cha msimu na mazao yake hasa Ni Mahindi-karibu Jimbo la kisiasa la Mlimba ndio rahisi kwa miezi hiyo.
 
Back
Top Bottom