Asante boss,kumbe Wana sumu Tena!! Sijawahi juaNi hao kama kobe wana gamba gumu bila mnofu ya kutosha, lobster, crab, musslor ni jamii hiyo.
Hapo kuna changu, vibua,tuna kambale,tilapia,Sangara,barakuda ukienda Feri ndo balaa utakuta kila kitu.
Hayo mashellfish ya nini?
Na sumu wanazo nyingi tu usipowaosha vizuri.
Bei yao imesimama haswa
Nyingi sana , kuna utumbo kama nyongo mle ndani usipotoa hiyo siku 2 kwaheri..Asante boss,kumbe Wana sumu Tena!! Sijawahi jua
Asante boss,naomba hizo recipeNyingi sana , kuna utumbo kama nyongo mle ndani usipotoa hiyo siku 2 kwaheri..
Supu mchemsho poa usafi tu uwepo haswa recipe naweza kukupa hapa kiroho safi
Itadepend km ni grill or gravy or raw pia supu.Grill seafood esp shellfish👌Asante boss,naomba hizo recipe
Zimeshushwa PM juu kwa juu!Huu uzi
Hata recipe hazijashushwa
Aaargh