Moshi hayapo hadi uyatoe mbali hivyo? Hivi kibo poultry hawana mayai au bei?Hints mayai yanazalishwa mkoani Tanga , then yatakuwa yanasafirishwa mpaka moshi mjini kwa mfumo wa trey , so mwenye info kuhusu biashara hii anijuze please
Umeshafanya tafiti ukaona ni kwa kiasi gani yanahtajika?N
Naona demand itakuwa vyuoni kule maana vinafunguliwa kwa sasa
Hakuna wauzaji wengine wa jumla tofauti na huyo?Bei mzee
Kuanza na 50 sio shida, mzunguko upoje? Kumbuka mayai yanaharibika yakikaa sana na yakiharibika ni hasara.Ntaanza na trey 50
Yaan kule umepeleka code alafu huku umekuja kufunfua uzi wa kuuza mayai ?Habari napenda ulizia kwa anaejua au anaefanya biashara ya kuuza mayai , hasa haya mahususi ya kupikia chipsi wakuu.
Anijuze napenda kuanza biashara hii
Location ni Moshi Mjini...
Master vipi una uelewa gani kuhusu hii biashara master?Yaan kule umepeleka code alafu huku umekuja kufunfua uzi wa kuuza mayai ?
yamekukuta na wewe umeamua kuwapoteza maafisa
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Usiishie kwenye hayo tu, nunua hata viza yatunze mwakani na mwaka keshokutwa kuna uchaguzi utakuja kunishukuruHabari napenda ulizia kwa anaejua au anaefanya biashara ya kuuza mayai , hasa haya mahususi ya kupikia chipsi wakuu.
Anijuze napenda kuanza biashara hii
Location ni Moshi Mjini...
Oya master mimi biashara ambazo ni legal sina uzoefu nazo kabisa labda illegal ndiyo naweza kukupa mwanga na directionMaster vipi una uelewa gani kuhusu hii biashara master?