Dkt Guston
Senior Member
- Feb 28, 2022
- 105
- 110
Habari wana JamiiForums
Naomba kujuzwa na kupewa muongozo kuhusu biashara hii ya kusafirisha bidhaa kutoka Tanzania kwenda Marekani, Canada, England na South Africa
Naomba kupewa muongozo jinsi ya kusafirisha bidhaa kutoka Tanzania kwenda nchi hizi bidhaa zitachukua muda gani hadi kuwafikia wateja wangu, usafiri gani ni nafuu na hauna gharama kubwa na jinsi ya jinsi ya kusafirisha bidhaa zangu.
Kwa anayefahamu naomba anijulishe na anipatie muongozo sahihi
Natumaini mtanisaidia wakubwa
Naomba kujuzwa na kupewa muongozo kuhusu biashara hii ya kusafirisha bidhaa kutoka Tanzania kwenda Marekani, Canada, England na South Africa
Naomba kupewa muongozo jinsi ya kusafirisha bidhaa kutoka Tanzania kwenda nchi hizi bidhaa zitachukua muda gani hadi kuwafikia wateja wangu, usafiri gani ni nafuu na hauna gharama kubwa na jinsi ya jinsi ya kusafirisha bidhaa zangu.
Kwa anayefahamu naomba anijulishe na anipatie muongozo sahihi
Natumaini mtanisaidia wakubwa