Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,043
Hiyo sasa ni tofauti ina maana nguo za zalishwa hapa then zapakiwa na kusafirishwa.Hawajui mtu anaweza weka kiwanda bongo kwa ajiri ya man power na target ya soko ikawa nje ni ngumu Sana kutoboa ukiwasikiliza wabongo
Tunakatishana tamaa kuliko kuhamasishana njia za kuvuka tulipo
Mwaka 2012 baada ya kumaliza chuo kuna jamaa alinicheck akawa anataka kufungua production ya nguo hapa hapa then zinapelekwa Ulaya. Alikuwa nafanya prodcution ya hivyo Greece pia
Sikuwa na nnalojua akili ikaona ni muda wa kuwa tajiri, bora hata ningetafta mtu nimuulize anipe Abcs mimi nikawa namjibu nampa ma estimate makubwa nawaza nshatobia akaniona chenga akaachana na hiyo plan baada ya kutuma michoro ya patterns na materials kutengeneza nguo za kwanza kama sample.
Mimi nikampelekea fundi wa kitaani kwetu mzee kashona finishing ovyo. Nikamtumia na ndo utajiri nikausahau hivyo