Naomba kujuzwa kuhusu biashara hii yenye utajiri

Kwamba bwana wewe unataka kusafirisha mitumba na tecno kutoka bongo kwenda ughaibuni!? Hili nalo linaweza kua ajabu la dunia.
 
Kama unaagiza bidhaa China,UK,Canada inafika sembuse itike Tanzania iende huko

Haya JIBEBE.....


Export procedures​

Export procedures
Export means to take or cause goods to be taken out of partner states. All Exports are free of duty and taxes except for three items; Raw hides and skins which are chargeable to export levy at the rate of 80% of FOB value or USD 0.52 per kg whichever is greater, Raw cashew nuts are chargeable to export levy at the rate of 15% of FOB value or USD 160 per metric ton whichever is higher and Wet blue leather are levied at the rate of 10% on FOB.
How do I process export documents?
  • The exporter is required to appoint a Licensed Clearing and Forwarding Agent (CFA) to clear his/her goods for export
    List of Clearing and Forwarding Agents
  • Documentation process is done online and completed before examination of goods and export release.
  • The exporter hands over the documents to the CFA who uploads them in the Tanzania Customs Integrated System (TANCIS for Mainland and Zanzibar) together with all attachment of relevant documents including permits from Other Government Departments (OGDs).
  • Assessment of export taxes and duties if any.
  • CFA make booking of container(s) from shipping line/agent.
  • Stuffing of export cargo at Container Freight Services(CFS) into container(s) under supervision of TRA and Other Government Departments (OGDs)
  • Shipping line/agent submit to TRA export vessel schedule information.
  • TRA audit (approve/reject) loading declaration (approved loading declaration automatically disseminated to Terminal operator as Loading List and becomes expected carry in).
  • Gate check is confirmed by TRA terminal gate.
  • Terminal operator submits Carry in report to TRA to confirm arrival of export cargo at Terminal.
  • Loading result report (short/normal loaded cargo) submitted by terminal to TRA.
  • Confirmation of loading report by TRA.
  • Submission of Export manifest by Shipping Line/Agent to TRA.
  • TRA Audit (approve) export manifest (automatically strike off inventory from terminal).
Note:
  • The exporter is required to inform the Customs before loading the goods in the container or truck as the proper officer is required to supervise the loading process
  • Booking of the space at the shipping line is not required for exports made through overland.
The following documents shall be attached when accomplishing export:
• Invoice
• Parking list
• TIN certificate (exporter)
• Authorization letter
• Export certificates from relevant Authorities depending on nature of the goods to be exported. The certificates/permits may include;
  • Certificates from Ministry of Agriculture for crops
  • Certificate from Ministry of livestock and fishery
  • Certificates from ministry of mines for minerals
  • Certificates from Ministry of Natural Resources
  • Cross Border Declaration of Currency and Bearer Negotiable Instruments
 
Na namba peupe kabisa . . .utashushwa level na kufikiriwa wewe ni mfanyabiashara muuza popcorn
 
Inategemea na aina ya nguo
Ndio inawezekana.. na inafanyika hadi kesho.
Kuna kiwanda Maarufu Sana Morogoro pale kinaitwa Mazava.. Nguo zinazotengenezwa pale Mazava haziuzwi bongo.. Zinaenda kuuzwa Marekani na duniani kote huko ndiko Soko lake lilipo..
Hivyo haya Ndugu aliyeomba mawazo yupo sahihi kwa Bidhaa zake.. na zaidi hahitaji kushauliwa Sana kuhusu Bidhaa gani japo si vibaya ukifanya hivo.. Ila yeye anataka kupewa A- B za kwa namna gani ata/tutwaweza kupeleka Biashara zetu nje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Snakebite, mobile accessories, nguo,sendors,nk
Mkuu usafirishe mobile accessories toka TZ to US? Una utani.
Vitu vya kusafirisha ni kama sandles, nguo za vitenge, vitu vya art.
Tulikuwa kwenye mkataba wa Agoa na US sina hakika kama bado una work vitu ambavyo vilikiwa vimetengenezwa na materials zinazopatikana hapa hapa vilikuwa vina msamaha wa kuingia Marekani.
Usafirishaji ambao ni cheap ni kwa njia ya posta kwa dhl ni expensive.
Wateja unawapata online unaweza tengeneza onlineshop ukafanya online campaigns via facebook na kadhalika.
 
Back
Top Bottom