MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,707
- 6,517
Habarini wakuu.
Niende moja kwa moja kwenye topic. Wakuu nina nyumba yangu ipo hatua ya finishing ina square meter 206. Nyumba iko Moshi.
Kwa vile sipo karibu nikamuomba fundi anipe makadirio ya tiles na akaniletea makadirio kama ifuatavyo
50×50 box 118
40x40 box 11
25×40 box 82
Skating box 11
Nataka niweke tiles ambazo ni za bei ya kawaida ambazo zinadumu. Naombeni ushauri niweke zipi? Na naombeni bei ya box tajwa hapo juu nijiandae maana hadi kichwa inapata moto kila nikiwaza bado aluminium, skimming na mauchafu mengine.
Pia naomba kujua kama kuna uwezekano nikapata sehemu nikawa nalipa kidogo kidogo maana hela haikai.
Natanguliza shukrani
Niende moja kwa moja kwenye topic. Wakuu nina nyumba yangu ipo hatua ya finishing ina square meter 206. Nyumba iko Moshi.
Kwa vile sipo karibu nikamuomba fundi anipe makadirio ya tiles na akaniletea makadirio kama ifuatavyo
50×50 box 118
40x40 box 11
25×40 box 82
Skating box 11
Nataka niweke tiles ambazo ni za bei ya kawaida ambazo zinadumu. Naombeni ushauri niweke zipi? Na naombeni bei ya box tajwa hapo juu nijiandae maana hadi kichwa inapata moto kila nikiwaza bado aluminium, skimming na mauchafu mengine.
Pia naomba kujua kama kuna uwezekano nikapata sehemu nikawa nalipa kidogo kidogo maana hela haikai.
Natanguliza shukrani