Hi All,
Ndugu zangu wana JF nachukua nafasi hii kujitambulisha na kuomba kukaribishwa katika mawazo na mijadala ya hapa na pale yaani kijamii, kisiasa n.k. Natanguliza shukuran zangu za dhati. All i all ninachoweza sema tuko pamoja katika kulijenga Taifa letu.
Regards,
Kabaya
Ndugu zangu wana JF nachukua nafasi hii kujitambulisha na kuomba kukaribishwa katika mawazo na mijadala ya hapa na pale yaani kijamii, kisiasa n.k. Natanguliza shukuran zangu za dhati. All i all ninachoweza sema tuko pamoja katika kulijenga Taifa letu.
Regards,
Kabaya