cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 28,665
- 78,148
msaidie kijana mupa muomgozo
Karuka yangu.. so unataka mie nimuongoze nini?
Kuna wengine wamo anawasoma
msaidie kijana mupa muomgozo
Yap yaan kuna jambo mwanya nimeupata sasa natakiwa kukimbizana na mda so natakiwa kusomea short course na sio miaka 3 iyo degree yake nitaichukua baadae ila kwasasa natakiwa kusomea short course ndio maelekezo nilio pewawataka fanya kama professional course?
Short ya hiyo course ulitaja jina au short course yoyote ?Yap yaan kuna jambo mwanya nimeupata sasa natakiwa kukimbizana na mda so natakiwa kusomea short course na sio miaka 3 iyo degree yake nitaichukua baadae ila kwasasa natakiwa kusomea short course ndio maelekezo nilio pewa
Sorry sina maana iyo mkuu niwie radhi 🙏🙏Karuka yangu.. so unataka mie nimuongoze nini?
Kuna wengine wamo anawasoma
NdioShort ya hiyo course ulitaja jina au short course yoyote ?
Hapana hii ni mekuja kudokozewa tu nisomee ata short course kuhusu hii kituSi utakuwa umefanya research ya kutosha ndio ukaamua hiyo kwa kujua nini na nini unataka mbeleni au?
Kifupi nataka kusomea short kozi ambayo ina husisha mamb ya bandari au logisticsShort ya hiyo course ulitaja jina au short course yoyote ?
Hii kucheki DMI mkuu au chuo cha Bandari kabisa.Kifupi nataka kusomea short kozi ambayo ina husisha mamb ya bandari au logistics
Shukrani bosaHii kucheki DMI mkuu au chuo cha Bandari kabisa.