Naomba kujua zaidi

Naomba kujua zaidi

Hell

Natarajia kwenda shule nikaongeze elimu sasa nataka ni change course hii ndio naona kwangu
Ipo vizuri embu naombeni mnipe dondo kidogo hii ipo vipi

BACHELOR’S DEGREE IN SHIPPING AND PORT LOGISTICS MANAGEMENT
Kujifanya much know hapa JF kumbe!!!
 
fanya application hapo online chap. Majina ya chuo pia yasikupumbaze.. hata IAA soma tu
Poa boss shukran ila kwa uzoefu wako kozi hii ina watu wengi? Sipendag jum at mwanzo nilisomaga chuo hakina watu wengi
 
Kaka hii kitu ina wezekana nikachukua short course
yap zipo special course hata za NIT wakishirikiana na CILT ila pia cheki na DMI ( Dar es Salaam Marine Institute ) wana program zuri sana. Unataka course fupi kwa mda gani ?
 
yap zipo special course hata za NIT wakishirikiana na CILT ila pia cheki na DMI ( Dar es Salaam Marine Institute ) wana program zuri sana. Unataka course fupi kwa mda gani ?
Miezi 6 ina tosha sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom