Chanzo kikuu cha mapato ya Edo ni Mzigo uliotoka Japan uliokuwa unaelekea kwa Samwel Malecela, kwa bahati ikaingia ofisini kwa Lowassa ambaye alizitumia kwa kuwekeza! Chanzo kingine ni Jengo la Ubalozi wa South Africa alizowapangisha kwa Rates za Ulaya, Shivacom, NASHERA Hotel nk...
Chanzo chaMapato c Samwel Sitta ni Ujenzi wa DIA/JIA na CDA
Chanzo cha mapato cha Membe ni Change ya Rader na Fedha za Ghadaffi
Chanzo cha Mapato cha Pinda ni Deals za Sukari na ESCROW
Wassira : ESCROW, UJANGILI , MIKATABA YA MADINI
MAkamba Jr: Kodi ya Simu, MIkataba ya Madini, ESCROW
Nchemba: ESCROW, Viwanja na majengo ya CCM
SUMAYE : Mikataba ya Madini, Ranch
Muhogo: ESCROW, Mikataba ya Madini
MAGUFULI: Mikopo ya WB, 50% Kwenye mikataba ya ujenzi, mapato ya vivuko
MWAKYEMBE: Mikataba bandarini, Deal la Nishati, Vivuko, ESCROW
Wadau naombeni kujua vyanzo vya mapato vya huyu brother, Me nilisikia ni mfugaji mzuri tu.Ya Richmond tatizo lilikua ni uwaziri mkuu.Tusimshutumu tuu kua anagawa rushwa wakati pengine tunajua biashara zake na hua anasaidia wenye shida na si kugawa rushwa. Tatizo lake nini? kaiba wapi? lini alitangaza kugombea uraisi?Alisema aliyepata kapata jamani.