Naomba kujua ukweli kuhusu vioo

Fene

JF-Expert Member
May 4, 2021
2,444
3,417
Inakuwaje wanangu wanaJamiiForums

Naombeni kuujua ukweli kuhusu hivi vioo kwa wale wajuzi, maana huwa nikijichekigi kwenye kioo najionaga mbavu sana

Je hivi hizi image za kwenye vioo zinatoa picha halisi au zinazingua

Nawasilisha
bodybuilder-posing-front-mirror-38125373.jpg
 
Inakuwaje wanangu wanaJamiiForums

Naombeni kuujua ukweli kuhusu hivi vioo kwa wale wajuzi, maana huwa nikijichekigi kwenye kioo najionaga mbavu sana

Je hivi hizi image za kwenye vioo zinatoa picha halisi au zinazingua

NawasilishaView attachment 2264134

Kioo anatakiwa awe mke/mume wako, au unayempenda, huyo ndiyo stakuchambua vizuri mbavu zako!
 
Tafta kioo kikubwa kama ukuta, weka sehem ya wazi kwa nje af pita ujione, apo ndo utajua ukwel
 
Inakuwaje wanangu wanaJamiiForums

Naombeni kuujua ukweli kuhusu hivi vioo kwa wale wajuzi, maana huwa nikijichekigi kwenye kioo najionaga mbavu sana

Je hivi hizi image za kwenye vioo zinatoa picha halisi au zinazingua

NawasilishaView attachment 2264134
Kuna nyumba nyingine me nkienda nkajicheki kweny kioo najiona kama dume la nyani..... Nyumba nyingine najiona mrembo kweli..... Nyumba nyingine najiona tako, nyumba nyingine flat had uchogo..... Eeeh nyumba nyingine ety na bonge la bichwa....... Nyumba nyingine ety tako ninalo, sura nzuri ninayo
 
Kuna nyumba nyingine me nkienda nkajicheki kweny kioo najiona kama dume la nyani..... Nyumba nyingine najiona mrembo kweli..... Nyumba nyingine najiona tako, nyumba nyingine flat had uchogo..... Eeeh nyumba nyingine ety na bonge la bichwa....... Nyumba nyingine ety tako ninalo, sura nzuri ninayo
😁basi kwenye sura tu ndo kioo kimekudanganya ila vingine vyote kioo kimesema ukweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom