Inakuwaje wanangu wanaJamiiForums
Naombeni kuujua ukweli kuhusu hivi vioo kwa wale wajuzi, maana huwa nikijichekigi kwenye kioo najionaga mbavu sana
Je hivi hizi image za kwenye vioo zinatoa picha halisi au zinazingua
NawasilishaView attachment 2264134
Concave na Convex usiviamini sanaKioo hakidanganyi
Huyu ni weweInakuwaje wanangu wanaJamiiForums
Naombeni kuujua ukweli kuhusu hivi vioo kwa wale wajuzi, maana huwa nikijichekigi kwenye kioo najionaga mbavu sana
Je hivi hizi image za kwenye vioo zinatoa picha halisi au zinazingua
NawasilishaView attachment 2264134
Nikajua ni wewe.Picha kwa hisani ya Google
Nishakuonya inatoshaKuna ubaya gani?
Akiwa mtupu haitakiwiHalafu usipende kujiangalia kwenye kioo sana shauri yako
Kuna nyumba nyingine me nkienda nkajicheki kweny kioo najiona kama dume la nyani..... Nyumba nyingine najiona mrembo kweli..... Nyumba nyingine najiona tako, nyumba nyingine flat had uchogo..... Eeeh nyumba nyingine ety na bonge la bichwa....... Nyumba nyingine ety tako ninalo, sura nzuri ninayoInakuwaje wanangu wanaJamiiForums
Naombeni kuujua ukweli kuhusu hivi vioo kwa wale wajuzi, maana huwa nikijichekigi kwenye kioo najionaga mbavu sana
Je hivi hizi image za kwenye vioo zinatoa picha halisi au zinazingua
NawasilishaView attachment 2264134
😁basi kwenye sura tu ndo kioo kimekudanganya ila vingine vyote kioo kimesema ukweliKuna nyumba nyingine me nkienda nkajicheki kweny kioo najiona kama dume la nyani..... Nyumba nyingine najiona mrembo kweli..... Nyumba nyingine najiona tako, nyumba nyingine flat had uchogo..... Eeeh nyumba nyingine ety na bonge la bichwa....... Nyumba nyingine ety tako ninalo, sura nzuri ninayo