Naomba kujua tofauti ya conceptual framework na theoretical framework,pia na hypothesis

Naomba kujua tofauti ya conceptual framework na theoretical framework,pia na hypothesis

Meinkempf = my own strength. Kusema vile sikuimanisha kuwa jamii forums haina wasomi najua wapo! Lakini tusiifanye kuwa first hand information wakati vitabu vimeandika mengi kuhusu hilo, au pengine angeomba watu wamwelekeze vitabu vinavyogusia kwa urahisi hiyo topic yake. Kuna wakati wazungu walisema "if you want to keep an African from anything,keep it in writing"

mkuu iko hivi, kama unajua na unatamani na wenzako wajue, utasaidia kiroho safi. lkn kama hujui na huna cha kusaidia, utaonesha dharau kwa wahitaji wa msaada.

ameuliza asaidiwe, si kwa sababu ni mvivu wa kusoma vitabu, yamkini amesoma vingi lkn hitimisho lake kama ni kitu kimoja.

kwa kuwa humu jamvini kuna watu wenye uzoefu na taaluma mbalimbali, wapo watu anaamini wanaweza kipunguza kitabu chenye page 400 kwa maneno 400 tu. mtu akisoma maneno hayo 400 tu ni sawa na kumaliza kitabu cha page 400.

hiyo inasaidia unaporudi kwenye kwenye kitabu unasoma na kuelewa vizuri.

mie nawashukuru wote mliofafanua, nami nimejifunza kitu japo sio mlengwa wa wa swali hilo. ila limeniongezea ujuzi
 
asante sana mtoa mada umesaidia watu weng humu mm nikiwa ni mmojawapo hivi vitu vilikuwa vinanichanganya sana ila hapa nmepata nondo za kufa mtu, safi sana!
 
unaona mambo ndo haya kipindi nasoma soma nimekutana na hii kitu kuwa its better kutumia moja na wengi wanapendelea conceptual kwa sababu unajiachia na unaeweza kudili nayo. ntatumia conceptual..lakini sasa hypothesis itakwa na haja tena? maana ntaenda kutest conceptual framework si ndio?
Lengo kuu la research ni kubaini tatizo lililopo na kuonyesha jinsi linavyoweza kutatuliwa. Hatua ya kwanza kwa wewe unayetaka kufanya research ni kutoa mawazo yako na ya watafiti wengine (literature review) juu ya tatizo hilo, kitu ambacho kinafanywa through concept note. Kama hili umenielewa then nitakuja kuelezea dhana ya hypothesis.
 
msaada tafadhali ninafanya research yangu ya masters ndo kwanza niko kwenye proposal haya mambo yamekuwa yananichanganya sana Hasa kuyatumia kwenye qualitative and quantitative research maneno haya ni conceptual na theoretical framework, kidogo hypothesisi ninaijua jua ,utamu wa maarifa ni kushea na maoni yako kidogo tu yanaweza badili mambo mengi sana na labda tanzania yote.lets share

You may like to read post No. 38 on this thread
 
msaada tafadhali ninafanya research yangu ya masters ndo kwanza niko kwenye proposal haya mambo yamekuwa yananichanganya sana Hasa kuyatumia kwenye qualitative and quantitative research maneno haya ni conceptual na theoretical framework, kidogo hypothesisi ninaijua jua ,utamu wa maarifa ni kushea na maoni yako kidogo tu yanaweza badili mambo mengi sana na labda tanzania yote.lets share

Mkuu wacha na mimi nitoe mchango wangu hata kama ni mdogo, wengi tukiwasha taa giza litaondoka tu, navyofahamu mimi hayo maneno mawili yanafanana tu, tofauti yake ni ndogo sana, conceptual framework hii ni kama ramani inayoelezea utafikaje unakoenda, inaelezea tatizo lako utalitatua vipi, unatarajia kufikiaje solution yako na mara nyingi wengine wanakuwa na mchoro, kama ramani hii utaichora mwenyewe basi hiyo ni conceptual yako mwenyewe, la unaweza kuamua kujifunza kwa wengine, utaiga wengine walipitaje kufika wanapotaka kwenda na ukifanya reference za wengine hapo ndo inaibuka dhana ya theoretical framework. Endelea kutafuta kwa wengine mkuu, yangu ni hayo tu.
 
Conceptual framework lazima itokane na title ya research yako....ambayo variables zake zitatokana katika literature review kuonyesha direction Mfano... Role of e-marketing on promoting local vendors.... hapo katika conceptual framework yako unaweza ukaivunja katika vipande vitatu.. independent, intermediate na dependent variables... au unaweza ukaivunja katika vipande viwili Independent na Dependents.... variables utakazo zitoa ndani ya literature review yako ndizo utakazo ziweka humo ndani.... theoretical framework yenyewe huwa inaonyesha direction kwa maelezo tu... yenyewe ni ngumu kidogo kuliko conceptual framework mana conceptual ni mchoro wa kitu husika mpaka mwisho.. hii itakusaidia wewe au supervisor wako kama hajaielewa kazi yako katika maelezo yako yote.. akiangalia mchoro wako atajua kuwa unamanisha nini au unataka kufanya nini....hypothesis ni kitu kingine tofauti hapa una mitazamo miwili katika study MFANO: wanafunzi wanao soma usiku wanafaul zaidi masomo yao kuliko wanaosoma mchana... hypothesis ina Null na alternative... unapoenda field kuangalia jee hypothesis yako kutokana na data zako ime accept au ime reject na hii itatokana na data zako utakapo kuwa unafanya analysis kama utatua cross tabulation, compare means, model ikiwa P<0.05.. hiyo inamanisha kuwa hypothesis yako ime accept kuwa wanafunzi wanaosoma usiku wanafaulu zaidi mitihani.. ikiwa P>0.05 ime reject
 
Conceptual framework lazima itokane na title ya research yako....ambayo variables zake zitatokana katika literature review kuonyesha direction Mfano... Role of e-marketing on promoting local vendors.... hapo katika conceptual framework yako unaweza ukaivunja katika vipande vitatu.. independent, intermediate na dependent variables... au unaweza ukaivunja katika vipande viwili Independent na Dependents.... variables utakazo zitoa ndani ya literature review yako ndizo utakazo ziweka humo ndani.... theoretical framework yenyewe huwa inaonyesha direction kwa maelezo tu... yenyewe ni ngumu kidogo kuliko conceptual framework mana conceptual ni mchoro wa kitu husika mpaka mwisho.. hii itakusaidia wewe au supervisor wako kama hajaielewa kazi yako katika maelezo yako yote.. akiangalia mchoro wako atajua kuwa unamanisha nini au unataka kufanya nini....hypothesis ni kitu kingine tofauti hapa una mitazamo miwili katika study MFANO: wanafunzi wanao soma usiku wanafaul zaidi masomo yao kuliko wanaosoma mchana... hypothesis ina Null na alternative... unapoenda field kuangalia jee hypothesis yako kutokana na data zako ime accept au ime reject na hii itatokana na data zako utakapo kuwa unafanya analysis kama utatua cross tabulation, compare means, model ikiwa P<0.05.. hiyo inamanisha kuwa hypothesis yako ime accept kuwa wanafunzi wanaosoma usiku wanafaulu zaidi mitihani.. ikiwa P>0.05 ime reject

ahsante kaka
 
Mkuu wacha na mimi nitoe mchango wangu hata kama ni mdogo, wengi tukiwasha taa giza litaondoka tu, navyofahamu mimi hayo maneno mawili yanafanana tu, tofauti yake ni ndogo sana, conceptual framework hii ni kama ramani inayoelezea utafikaje unakoenda, inaelezea tatizo lako utalitatua vipi, unatarajia kufikiaje solution yako na mara nyingi wengine wanakuwa na mchoro, kama ramani hii utaichora mwenyewe basi hiyo ni conceptual yako mwenyewe, la unaweza kuamua kujifunza kwa wengine, utaiga wengine walipitaje kufika wanapotaka kwenda na ukifanya reference za wengine hapo ndo inaibuka dhana ya theoretical framework. Endelea kutafuta kwa wengine mkuu, yangu ni hayo tu.

ahsante "wengi tukiwashaa taa giza uondoka"
 
Safi sana ...watu wamekata issue kiroho safi ...jamani sadaka sio Kanisani au misikitini tu ....
 
Conceptual frame work ni diagrammatic model ambyo inasummrize maina research qns and specific research Qns lkn theoretical frame work ni key concepts and theories ambzo mi kma lens ya research yko juu ya theory ambzo utaztumia ktk research unayofnya
Kuhusu qualitative znbse kwenye description na explanation ya juu ya k2 unachkfnyia kaz lkn quantitative numbers lzma zhske sna cz unatka quantification ya k2 unachofnyia kaz lkn bst research ni kucombine zte qualitatively na quantitative
 
Mkuu jthd kuandika vzr hyo research cz ikiwa chini ya kiwango kwa m2 level ya masters kuidefend kwa supervisor na ktk panel wtakusumbua sna kuitoa maana uzito wa research unaenndna na kiwango cha elimu ya unayoitafuta
 
Wanafunzi wa kitanzania at times ni shida sana! Yaani at masters level badala ya kusoma vitabu unakuja kuuliza jamii forums!! Its a shame .


sasa shame iko wapi hapo. Huyu kijana anauliza swali la msingi ili aelimishwe wewe unamkatisha tamaa wewe unamkatisha tamaa what is the meaning of this? Ni afadhali huyu anayeuliza mambo ya msingi kuiiko haya ya umbeya wa ukawa
 
sasa shame iko wapi hapo. Huyu kijana anauliza swali la msingi ili aelimishwe wewe unamkatisha tamaa wewe unamkatisha tamaa what is the meaning of this? Ni afadhali huyu anayeuliza mambo ya msingi kuiiko haya ya umbeya wa ukawa

Wewe akili zimehamia downstairs
 
Conceptual framework, it is the one you develop yourself from your study . . After developing the specific objectives, you establish indirect and direct variables . . These variables, ndio zitakusaidia katika kudevelop your conceptual framework. . Conceptual framework inakuwa in form of figure with indirect variables on the left and direct variable(s) on the right

Theoretical framework sasa ni a section ambayo you get to discuss about theories which relates to your topic of study. .
 
Social network ni moja ya sources za habari NA literature reviews hata vitabu unavyozungumzia wewe nowdayz viko softcopied. Kosa liko wapi kupata habari kwenye mtandao NA kwenye kitabu unawza soma kwenye kitabu husielewe NA kupita jf ukaelewa inshu ni kuelewa pasipo kujali umepata wapi its information age there are simple means of acquiring knowledge! Kuna watu wanapata tiba kupitia jf doctors nao ungependa mpaka waende hospital kwa hiyo hata Google scholar.Fikiri Mara mbili information bila kushea haina maana.hata jf unayotumia ni matokeo ya kushea info.kwa nn nkakomae library siku wakati naweza okoa huo muda kwa MTU kunielezea on social network.hauko sahii

Na cha muhimu zaidi na sisi wengine tunapata nafasi ya kujifunza
 
Meinkempf = my own strength. Kusema vile sikuimanisha kuwa jamii forums haina wasomi najua wapo! Lakini tusiifanye kuwa first hand information wakati vitabu vimeandika mengi kuhusu hilo, au pengine angeomba watu wamwelekeze vitabu vinavyogusia kwa urahisi hiyo topic yake. Kuna wakati wazungu walisema "if you want to keep an African from anything,keep it in writing"

sasa jaribu kusoma ulichokuwa umekiandika halafu utakuja kuniambia.
 
Back
Top Bottom