Kama unakazi tayari kapige human nutrition, kama huna nenda muhimbili kapige epidemiology /bio statistics. Based na source mbali mbali za ajiraHabarini wapendwa,
Nakata kusoma Masters ya Human Nutrition au Epidemiology, napenda kujua kuhusu soko lake na demand yake imekaaje
ushauri mzuri kwa hiyo unamaanisha Human nutrition ajira ni finyu? Maana na mimi naplan kusoma Bsc nutrition and dietics ya pale open ila natarget kujiajiri zaidi vipi hiyo?Kama unakazi tayari kapige human nutrition, kama huna nenda muhimbili kapige epidemiology /bio statistics. Based na source mbali mbali za ajira
ok thanksKama unakazi tayari kapige human nutrition, kama huna nenda muhimbili kapige epidemiology /bio statistics. Based na source mbali mbali za ajira
sasaivi unajishughulisha na nn?ushauri mzuri kwa hiyo unamaanisha Human nutrition ajira ni finyu? Maana na mimi naplan kusoma Bsc nutrition and dietics ya pale open ila natarget kujiajiri zaidi vipi hiyo?
sasaivi unajishughulisha na nn?
[/QUOTE
Mahitaji ya dunia ya sasa, yanalazimisha sana umuhimu wa specialists wa human nutrition,ushauri mzuri kwa hiyo unamaanisha Human nutrition ajira ni finyu? Maana na mimi naplan kusoma Bsc nutrition and dietics ya pale open ila natarget kujiajiri zaidi vipi hiyo?