jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 19,217
- 36,187
Unaijua teflon,?
Sizipendi haziweki UKOKO ukipika waliHabari wakuu.
Natamani nifanye jiko la nyumbani kwangu liwe la tofauti kidogo na nimeona Kuna hizi sufuria za non stick ambazo zimekuwa maarufu sana.
Naomba mwenye kuzijua vizuri anielezee sifa zako.
Moja ya kitu nachotaka kujua ni kama naweza kunitumia kama sufuria lakini pia kama hotpot.
Wanasema kuwa haziunguzi chakula. Kuna ukweli ndani yake au lah?
Vipi kuhusu usalama kiafya ukizingatia material yake.
Asanteni
Hapana mkuu. Ndio nimeelekezwa hapo juu na mdau
Kwanini?maana ndo nilitak nikanunue Zina madhara?Nunua cast iron au stainless steel original
Achana na non stick
Suala lawali ni special Case mie lazima nipike wali kwenye Mkaa aisee wali wa kupalia mtamu bhana 😀
Mchele uwe wa MbeyaSuala lawali ni special Case mie lazima nipike wali kwenye Mkaa aisee wali wa kupalia mtamu bhana
Kanunua vyungu...usave pesa na afya yako piaKwanini?maana ndo nilitak nikanunue Zina madhara?
Kwakweli km ni hivo Bora vyunguKanunua vyungu...usave pesa na afya yako pia
Na raha ya wali asubuhi uamkie kiporo chenye ukoko a.k.a carpet(enzi hizo chuo cha mipango kwa mama mjeshi unanunua ukoko kabla hata hajapika wali alafu unazama class kugonga pindi ukitoka unakuwa na chupa ya maji masafi unazama toilet una-download maji direct kwa mama mjeshi kuchukua order yako
Hebu toeni picha ya sufuria ya teflon. Tuwahi huko home tuombe wife akague.Tulikuwa tunapenda sana hayo ma non stick, baadae ukishakuwa na familia unaanza kuwa na machale kwenye kila unachonunua, ndipo nilipokutana na scandal ya teflon na wakaazi mji wenye viwanda vya kutengeneza hizo teflon marekani walikuwa wanakufa kwa cancer
Sufuria za bati hizo zinazouzwa mitaani ni bora mara elfu, kawaunge mafundi na pia wewe kwa afya yako
View attachment 2760879
The Devil We Know - Wikipedia
en.wikipedia.org
Shukrani Sana mkuu. Hizi zenye weusi ndani na non stick zipo home na frying pan zake. Ninashukuru mno mno kwa Elimu hii. Zitaondolewa zote.Mara nyingi zinakuwa nyeusi ndani kama hizi
View attachment 2777020
Achana nazo kabisa, nunua tu za kawaida kama hizi👇
View attachment 2777021
Kuna frying pan zina rangi kama Shaba ndani. Nazo hizi ni vipi? Kuna Moja nimekutana nayo leo imeandikwa healthy cooking. Nina moja ya Shaba kind of kwa ndani ya mstatili nilinunua mahali ila naona haipendwi kutumia home Sana kama hizi nyingineMara nyingi zinakuwa nyeusi ndani kama hizi
View attachment 2777020
Achana nazo kabisa, nunua tu za kawaida kama hizi👇
View attachment 2777021
Asante sana mkuu. Hii inasaidia sanaMara nyingi zinakuwa nyeusi ndani kama hizi
View attachment 2777020
Achana nazo kabisa, nunua tu za kawaida kama hizi
View attachment 2777021
Fake yapo kibao mkuu...ukitaka og Sana nenda supermarket kubwa masaki na Samora...kuna za Professional na Tefal my favourite brand...Haya masufuria yamekuwa mengi sana Hadi yanachanganya. Kila rangi ipo aisee
Barikiwa Sana Mkuu. Taken with care. Much appreciated.Kama ni rangi ya shaba ndani, itakuwa ni copper pia inasemekana sio nzuri kwa kuwa matumizi ya muda mrefu hasa kwa mapishi yenye tindikali(acid) ya asili i ikiwemo nyanya na malimau, husababisha mmomonyoko wa shaba kuchanganyikana na chakula ambao shaba ni hatari ikingia mwilini.
Hizo zenye utando mweusi, ambazo zinaitwa non stick, zinatengenezwa na mchangayiko wa kemikali hatari sana ambazo zingine zimepigwa marufuku, lakini sasa kwa nchi kama Tanzania sijui hata watafuatilia zinatoka wapi au zinatengenezwa vipi
Sufuria nzuri ni zilizotengenezwa na stainless steeel kama hizi chini hapa ambazo ndio zinazojulikana kwa kuwa ni salama zaidi kwa matumizi ya vyombo vya mapishi.
View attachment 2777205
Habari wakuu.
Natamani nifanye jiko la nyumbani kwangu liwe la tofauti kidogo na nimeona Kuna hizi sufuria za non stick ambazo zimekuwa maarufu sana.
Naomba mwenye kuzijua vizuri anielezee sifa zako.
Moja ya kitu nachotaka kujua ni kama naweza kunitumia kama sufuria lakini pia kama hotpot.
Wanasema kuwa haziunguzi chakula. Kuna ukweli ndani yake au lah?
Vipi kuhusu usalama kiafya ukizingatia material yake.
Asanteni
Zina chemchemi ndani yake kwamba haziunguzi chakula? Hizo ni lugha za wafanyabiashara tu, na kuwanasa wanaopenda "vitu vya tofauti"