Ndikwega
R I P
- Feb 1, 2012
- 5,979
- 5,524
Salaam Wakuu!
Nimemvua mtu IST yenye CC1500, nimempelekea Fundi aiangalie kama kuna shida, kaniambia hakuna shida matatizo ya kawaida. Ila aliyeniuzia akaniambia haina shida labda tu Service.
Sasa Basi Wataalamu naombeni ushauri natakiwa nifanye Service ya Kipi na kipi lengo ni Kutaka Kuzimaintain Services nitazokuwa nazifanya ili nikatunze ka IST haka. Na naomba Zaidi kama Uwezekano upo wa Analysis ya gharama za hizo Service. Nitamshukuru saana kwa Ushauri wenu wa Kitaalamu.
Ahsanteni.
Nimemvua mtu IST yenye CC1500, nimempelekea Fundi aiangalie kama kuna shida, kaniambia hakuna shida matatizo ya kawaida. Ila aliyeniuzia akaniambia haina shida labda tu Service.
Sasa Basi Wataalamu naombeni ushauri natakiwa nifanye Service ya Kipi na kipi lengo ni Kutaka Kuzimaintain Services nitazokuwa nazifanya ili nikatunze ka IST haka. Na naomba Zaidi kama Uwezekano upo wa Analysis ya gharama za hizo Service. Nitamshukuru saana kwa Ushauri wenu wa Kitaalamu.
Ahsanteni.