Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 4,159
- 11,473
Tayari nina vipimo vya daktari vya macho yangu. Hivi kwanini miwani ya macho inauzwa bei ghali? Nimetembelea maduka kadhaa ya miwani bei sio chini ya 600,000.
Wapi wanauza bei iliyopoa?
Wapi wanauza bei iliyopoa?