FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,063
- 40,724
Hizo ndege na mashamba yako chini ya umiliki wa nani? Huyo anaezimiliki alizipataje? Na kwanini yeye asilipe deni badala yake sisi ndio tulipe? Naomba ufafanuzi.
Hizo ndege ziko wapi? Hayo mashamba yako wapi? Kama yapo arudishiwe tu tumalizane nae, maana hayatusaidii chochote, mrudishieni hizo ndege zake yaisheNgoja mawakili wa serikali wanakuja kukujibu mkuu
Kama hataki kulipa, basi hizo ndege na mashamba yauzwe yakalipe deni!Mkuu huko ulikopachokonoa ndo penyewe tumjue alielizunguka taifa na kujimilikisha mali hizo
Nyimbo gani mzee baba tuanze nayo mpiga sollo nipo tayariWaimba mapambio njooni huku msifu na kuabudu
Zile za Wapinzani kuwa wanatumwa na Mabeberu aya sasa beberu limekuja lenyewe.Nyimbo gani mzee baba tuanze nayo mpiga sollo nipo tayari
😂😂😂😂😂Zile za Wapinzani kuwa wanatumwa na Mabeberu aya sasa beberu limekuja lenyewe.
Kwa mawazo yangu.....ndege zitakuwa zilishatoweka kwa sababu ya kukosa usimamilizi na matunzo. Mashamba huenda yalikuwa chini ya umiliki wa serikali (kipindi cha Nyerere; kama ilivyokuwa kwa mashamba mengine yote yaliyotaifishwa) na baada ya ubinafsishaji kugonga hodi, yakachukuliwa na wajanja wachache.Hizo ndege na mashamba yako chini ya umiliki wa nani? Huyo anaezimiliki alizipataje? Na kwanini yeye asilipe deni badala yake sisi ndio tulipe? Naomba ufafanuzi.
Yawezekana kuna mtu amejimilikishia vitu, halafu watanzania wanahangaishwa na madeni yasiyo na tija. Ni vyema tukajua ni wapi hivi vitu vipo na nani anayevimiliki mara baada ya kutaifishwa na sasa ni nani anayevimilikiMkuu huko ulikopachokonoa ndo penyewe tumjue alielizunguka taifa na kujimilikisha mali hizo
Mwamposa na Dudubaya sijui wataenda kusali wapiHivi unajua zile nyumba za mdosi Chama mbele ya tmj zilizotaifishwa
Sahv zinamilikiwa na Nani?
Mara paap nao wamiliki wa tanganyika packers haooo wameibuka nao kudai???
Ova
Hivi unajua zile nyumba za mdosi Chama mbele ya tmj zilizotaifishwa
Sahv zinamilikiwa na Nani?
Mara paap nao wamiliki wa tanganyika packers haooo wameibuka nao kudai???
Ova