Naomba kujua kuhusu Siddhartha Gautama (Buddha)

Katika dini yetu ya budha (budhisim) kuna mambo makuu mawili.


1. Samsara
Hii ni imani kuwa kuna maisha baada ya kifo, wazungu waita (life after death) kwamba unapofariki utazaliwa sehemu nyingine kama mwanadamu au kiumbe kingine kutegemeana na karma yako, soma karma chini ujue ni nini.


2. Karma
Hii inamaanisha ni malipo utayopata baada ya kufa. Mfano ulikua mtu mwema na mtoa msaada kwa wasio na kitu hata kama ulikua huna uwezo sana basi ukifa utazaliwa katika hali nzuri sana. Unaweza ukazaliwa ukawa tajiri sana na mtu mwenye mafanikio makubwa.

Hivyo basi samsara huwa determined na karma yako, kama ulikua tajiri na kuwadharau maskini hukawii kuzaliwa mbwa koko hapo baadae. Budhisim ni imani moja tamu sana
 
Katika dini yetu ya budha (budhisim) kuna mambo makuu mawili.


1. Samsara
Hii ni imani kuwa kuna maisha baada ya kifo, wazungu waita (life after death) kwamba unapofariki utazaliwa sehemu nyingine kama mwanadamu au kiumbe kingine kutegemeana na karma yako, soma karma chini ujue ni nini.


2. Karma
Hii inamaanisha ni malipo utayopata baada ya kufa. Mfano ulikua mtu mwema na mtoa msaada kwa wasio na kitu hata kama ulikua huna uwezo sana basi ukifa utazaliwa katika hali nzuri sana. Unaweza ukazaliwa ukawa tajiri sana na mtu mwenye mafanikio makubwa.

Hivyo basi samsara huwa dertimed na karma yako, kama ulikua tajiri na kuwadharau maskini hukawii kuzaliwa mbwa koko hapo baadae. Budhisim ni imani moja tamu sana
....yeah sure.
Karma has no menu,you get served what you deserve
 
sasa mkuu itafaa nini kama utazaliwa bila kujitambua kuwa ndio wewe yule uliyekuwa ukitesa na mali zako au ukiua watu.. kwamba sasa haya ni malipo
...jua tu kuwa hakuna kitu chini ya jua kinayokea kwa bahati mbaya...ie waokota makopo,kina Mengi na Bakheresa,wanachinjwa,wanakufa kitakatifu...ni matokeo ya juhudi zao kuutafuta unyoofu maisha yaliyopita mkuu.
...mengine uliyokaririshwa madrasa na Sunday school ni matango pori
 
...jua tu kuwa hakuna kitu chini ya jua kinayokea kwa bahati mbaya...ie waokota makopo,kina Mengi na Bakheresa,wanachinjwa,wanakufa kitakatifu...ni matokeo ya juhudi zao kuutafuta unyoofu maisha yaliyopita mkuu.
...mengine uliyokaririshwa madrasa na Sunday school ni matango pori
Ko unataka kusema si tulikuwagepo zaman mkuu?????
 
...jua tu kuwa hakuna kitu chini ya jua kinayokea kwa bahati mbaya...ie waokota makopo,kina Mengi na Bakheresa,wanachinjwa,wanakufa kitakatifu...ni matokeo ya juhudi zao kuutafuta unyoofu maisha yaliyopita mkuu.
...mengine uliyokaririshwa madrasa na Sunday school ni matango pori
yani sijaelewa chochote
 
Katika dini yetu ya budha (budhisim) kuna mambo makuu mawili.


1. Samsara
Hii ni imani kuwa kuna maisha baada ya kifo, wazungu waita (life after death) kwamba unapofariki utazaliwa sehemu nyingine kama mwanadamu au kiumbe kingine kutegemeana na karma yako, soma karma chini ujue ni nini.


2. Karma
Hii inamaanisha ni malipo utayopata baada ya kufa. Mfano ulikua mtu mwema na mtoa msaada kwa wasio na kitu hata kama ulikua huna uwezo sana basi ukifa utazaliwa katika hali nzuri sana. Unaweza ukazaliwa ukawa tajiri sana na mtu mwenye mafanikio makubwa.

Hivyo basi samsara huwa determined na karma yako, kama ulikua tajiri na kuwadharau maskini hukawii kuzaliwa mbwa koko hapo baadae. Budhisim ni imani moja tamu sana
Ahahajq but qfadhali hata dini hii aisee
 
Katika dini yetu ya budha (budhisim) kuna mambo makuu mawili.


1. Samsara
Hii ni imani kuwa kuna maisha baada ya kifo, wazungu waita (life after death) kwamba unapofariki utazaliwa sehemu nyingine kama mwanadamu au kiumbe kingine kutegemeana na karma yako, soma karma chini ujue ni nini.


2. Karma
Hii inamaanisha ni malipo utayopata baada ya kufa. Mfano ulikua mtu mwema na mtoa msaada kwa wasio na kitu hata kama ulikua huna uwezo sana basi ukifa utazaliwa katika hali nzuri sana. Unaweza ukazaliwa ukawa tajiri sana na mtu mwenye mafanikio makubwa.

Hivyo basi samsara huwa determined na karma yako, kama ulikua tajiri na kuwadharau maskini hukawii kuzaliwa mbwa koko hapo baadae. Budhisim ni imani moja tamu sana
Ndugu yangu mm sikutaka kujua kuhusu dini ya Buddhism ila namtaka muanzilishi wake ambae ndo huyo Budha..
Malcom Lumumba
 
B106C427-C45E-4081-92AD-4E00ABB4CEF9.jpeg
Uki google utapata majibu sahihi!
 
Salute Comrades...
Wakuu naomba kunfahamu huyu jamaa ni nani?
A-Z.
In short
Ndie anayeabudiwa na wachina,wathailand,wavetenam etc..
Alikua mtu wa watu sana, mwenye huruma hadi akaenda kuishi porini ili kujitesa mwenye (Alikua mtoto wa kitajiri)

Kama nimekosea mnisahihishe..
Nataka kujua zaidi juu ya mtu huyu..
Cc.
wick zitto junior Pascal Mayalla mshana jr
Asante ila haabudiwi na wachina, watailand na wasri lanka wote bali wale wenye imani yuu ya dini ya Buddha, Buddhism..
Huyu alikuwa ni mtoto wa mfalme aliyekulia kwenye kasri lenye kila kitu hakujua mateso wala shida za ulimwengu mpaka siku alipotoka nje na kuona watu walikilia wengine wagonjwa wengine wenye shida mbalimbali...
Akaamua kuacha kila kitu cha kifalme na kuondoka kwenye kasri kwenda kutafuta ukweli juu ya mateso ya binadamu.. Kwahiyo akaenda mbali mpaka kwenye mti wa Bodhihaya na kuanza kufanya meditation mpaka alipokuwa enlightened
Baada ya hapo jina likabadilika kutoka prince Sirdhata Goutama na kuwa Sakyamuni Buddha...
 
Katika dini yetu ya budha (budhisim) kuna mambo makuu mawili.


1. Samsara
Hii ni imani kuwa kuna maisha baada ya kifo, wazungu waita (life after death) kwamba unapofariki utazaliwa sehemu nyingine kama mwanadamu au kiumbe kingine kutegemeana na karma yako, soma karma chini ujue ni nini.


2. Karma
Hii inamaanisha ni malipo utayopata baada ya kufa. Mfano ulikua mtu mwema na mtoa msaada kwa wasio na kitu hata kama ulikua huna uwezo sana basi ukifa utazaliwa katika hali nzuri sana. Unaweza ukazaliwa ukawa tajiri sana na mtu mwenye mafanikio makubwa.

Hivyo basi samsara huwa determined na karma yako, kama ulikua tajiri na kuwadharau maskini hukawii kuzaliwa mbwa koko hapo baadae. Budhisim ni imani moja tamu sana
Beautiful one... Kudos
 
Asante ila haabudiwi na wachina, watailand na wasri lanka wote bali wale wenye imani yuu ya dini ya Buddha, Buddhism..
Huyu alikuwa ni mtoto wa mfalme aliyekulia kwenye kasri lenye kila kitu hakujua mateso wala shida za ulimwengu mpaka siku alipotoka nje na kuona watu walikilia wengine wagonjwa wengine wenye shida mbalimbali...
Akaamua kuacha kila kitu cha kifalme na kuondoka kwenye kasri kwenda kutafuta ukweli juu ya mateso ya binadamu.. Kwahiyo akaenda mbali mpaka kwenye mti wa Bodhihaya na kuanza kufanya meditation mpaka alipokuwa enlightened
Baada ya hapo jina likabadilika kutoka prince Sirdhata Goutama na kuwa Sakyamuni Buddha...
Funguka desa lote mkuu...mpaka liishe kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom