pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 4,643
- 3,020
Kwa nn haiwekwi huko huko kiwandani simu zinakotengenezwa
Mkuu kampuni ambayo hutoa lifetime warrant zaidi yakupewa miezi sita au mwaka?Makampuni mengi ukiweka hio protector umevunja warranty kuweni makini.
Makampuni mengi ukiweka hio protector umevunja warranty kuweni makini.
Ndio. Kama alivyosema mdau hapo juu inanatana kabisa na digitizer (touch) ama layer ya juu ya kioo. Kitu chochote unachoweka wewe na ku affect hardware ya simu kina void warranty. Labda wasijue.
Warranty ya simu ama hizo protector?Mkuu kampuni ambayo hutoa lifetime warrant zaidi yakupewa miezi sita au mwaka?
Sent from my TECNO WX3 using Tapatalk
ni ngumu mno kuvunjika maana kama dririi haitoboi nazani unapata picha yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao jamaa wanaoweka hiyo protector walikuja Kongowe Kibaha wakafanya hiyo biashara kwa siku takribani 3 kabla ya krismas.
Kuna jamaa yangu alishawishika na tecno yake yake spark 3 akaipeleka ikatolewa ile protector yake ya glass na wakamuwekea hiyo liquid kwa gharama ya shilingi 10,000 za kitanzania.
Ni juzi tu alikuwa akifunga kamba za viatu vyake ndipo hiyo simu ikatoka mfuko wa shati ikaanguka chini na tachi imevunjika kabisa.
Nadhani hao jamaa pia ni wadanganyifu.
Sent using Jamii Forums mobile app