Naomba kujua kuhusu kufunga ndoa kanisani.

Naomba kujua kuhusu kufunga ndoa kanisani.

Kichwa Ndio Mtu

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2014
Posts
3,079
Reaction score
1,719
Ninavyojua Biblia inasema kijana atawaacha wazazi wake na ataambatana na mkewe nao watakua mwili mmoja,je ni wapi Biblia inasema lazma ukafunge ndoa kanisani?je km mm nimependana na bint,tumekubaliana na tunaishi pamoja kwa upendo na amani bila kufunga ndoa kuna dhambi yoyote hapo?mi naomba kujua ni wap biblia inataka tukafunge ndoa kanisani?msing wa hyo dhana unatoka wap?naomba nielimishwe.
 
Kumbuka kuna biblia,makanisa,imani,madhehebu,mila + katiba ni vitu tofauti.naamini wewe ni great thinker ,fanyia kazi!!
 
Ninavyojua Biblia inasema kijana atawaacha wazazi wake na ataambatana na mkewe nao watakua mwili mmoja,je ni wapi Biblia inasema lazma ukafunge ndoa kanisani?je km mm nimependana na bint,tumekubaliana na tunaishi pamoja kwa upendo na amani bila kufunga ndoa kuna dhambi yoyote hapo?mi naomba kujua ni wap biblia inataka tukafunge ndoa kanisani?msing wa hyo dhana unatoka wap?naomba nielimishwe.

Biblia inakutaka ufunge ndoa ya kikristu... Kwa kufungia haijataja
 
Ili kuhalalisha unachokifanya. Sio lazima kanisani kwani waislam tunafunga kanisani?
 
Ninavyojua Biblia inasema kijana atawaacha wazazi wake na ataambatana na mkewe nao watakua mwili mmoja,je ni wapi Biblia inasema lazma ukafunge ndoa kanisani?je km mm nimependana na bint,tumekubaliana na tunaishi pamoja kwa upendo na amani bila kufunga ndoa kuna dhambi yoyote hapo?mi naomba kujua ni wap biblia inataka tukafunge ndoa kanisani?msing wa hyo dhana unatoka wap?naomba nielimishwe.

Mods pelekeni jukwaa la dini kule ndio vifungu vya bible!
 
Kumbuka kuna biblia,makanisa,imani,madhehebu,mila + katiba ni vitu tofauti.naamini wewe ni great thinker ,fanyia kazi!!

sijakuelewa,pili makanisa au madhehebu karbu yote waumin hufunga ndoa kanisani kwao,mm nachoomba kujua ni lazma?
 
kama unaona haijaandikwa ifungiwe kanisani poa tu wewe kafungie yako bar.
kwani ww unaudogo gani hadi uulize swali halina nguo ya ndani
 
unataka kujua kuhusu ndoa ama taratibu za kufunga ndoa, maana umenichanganya heading yako na maelezo yako
 
kama unaona haijaandikwa ifungiwe kanisani poa tu wewe kafungie yako bar.
kwani ww unaudogo gani hadi uulize swali halina nguo ya ndani

mkuu hapa umenielewesha au umenizira,mi naomba kueleweshwa mheshmiwa.
 
unataka kujua kuhusu ndoa ama taratibu za kufunga ndoa, maana umenichanganya heading yako na maelezo yako

mi nachotaka kujua n kua je mkishakubaliana kuish pamoja kuna ulazma wa kwenda kupewa cheti cha ndoa kanisani,kufunga ndoa kanisani.si mnakua mmeshatimiza sharti la kimungu tayar?
 
Hii ndio bibilia, maneno ya "mungu" yanayo jali na kulinda interest za kila mtu

NDUGU RUKSA HATA KULA KIBOGA!!!!!
 
Ninavyojua Biblia inasema kijana atawaacha wazazi wake na ataambatana na mkewe nao watakua mwili mmoja,je ni wapi Biblia inasema lazma ukafunge ndoa kanisani?je km mm nimependana na bint,tumekubaliana na tunaishi pamoja kwa upendo na amani bila kufunga ndoa kuna dhambi yoyote hapo?mi naomba kujua ni wap biblia inataka tukafunge ndoa kanisani?msing wa hyo dhana unatoka wap?naomba nielimishwe.

Tatizo umeanzia mbali sana, jiulizw kwanza ni laziaa kuwa na kanisa la kwenda kumwabudu Mungu? Kwa nini usiende bookshop tu ukanunua biblia ukasoma mwenyewe na mkeo?
 
Wewe ni mkristu kweli maana sikutegemea ungeuliza swali kama hilo. Hata kama kwenye biblia haijaandikwa lakini ndoa ni sakramenti kama ilivyo ubatizo, upadri, ekaristi n.k na hivyo kuna utaratibu wa utoaji wa sakramenti yoyote ile. Kuchukuana na kuanza kuishi siyo ndoa bali unataka kuhalalisha uasherati na kwa amri za Mungu unavunja amri ya sita.
 
Tatizo umeanzia mbali sana, jiulizw kwanza ni laziaa kuwa na kanisa la kwenda kumwabudu Mungu? Kwa nini usiende bookshop tu ukanunua biblia ukasoma mwenyewe na mkeo?

mheshmiwa mi naomba unipe naoni au mawazo yako kwenye ombi langu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom