Kichwa Ndio Mtu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 3,079
- 1,719
Ninavyojua Biblia inasema kijana atawaacha wazazi wake na ataambatana na mkewe nao watakua mwili mmoja,je ni wapi Biblia inasema lazma ukafunge ndoa kanisani?je km mm nimependana na bint,tumekubaliana na tunaishi pamoja kwa upendo na amani bila kufunga ndoa kuna dhambi yoyote hapo?mi naomba kujua ni wap biblia inataka tukafunge ndoa kanisani?msing wa hyo dhana unatoka wap?naomba nielimishwe.