Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,441
- 25,582
Hapo kwenye red ni nini hicho ulichoandika. .? Nimekuambia kama unataka majibu anzisha thread nitakuja kukujibu ..au hujui kuanzisha uzi...?Kubali huna majibu unaishi kwa kukalilishwa bila kujifunza.
So what!!!Ndg Mimi ni mkiristo
Kabla hujaanza kuwa msaada kwangu jisaidie kwanza wewe kulijua Neno la Mungu na Historia ya Ukristo....Kwa kifupi wewe ni empty set...Naweza kuwa msaada kwako sipendi watu wapotee
Sasa wewe naona huna hoja bali viroja...., Anza Leo ujifunze bible usikaririshwe vijimaneno vya wasaka faida kwa mgongo wa yesu.
Kama kuandika tu kunakushinda ndio utaweza jadiliana na mimi...???Jifunze Bible kwani zimeandikwa kwa kiswahili lahisi sana.
Wewe nimeshakwambia jukwaa lako ni kule jokes na celebrity....