Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 4,794
- 3,724
heshima mbele wana jamvi
Wakuu wenye utaalam na haya makitu ya hizi modemu zinazotumia line za aina zote ie tigo,zantel,vota,airtel etc zimekaaje kwenye matumizi. Uwezo wake ukoje? Dowmload and upload speed,je zina tofauti gani na hizi wanazouza voda or tigo etc zinazoingia laini, lainiz ao tu,wakuu nijuzeni nataka ninunue ila sina exprince nazo
Wakuu wenye utaalam na haya makitu ya hizi modemu zinazotumia line za aina zote ie tigo,zantel,vota,airtel etc zimekaaje kwenye matumizi. Uwezo wake ukoje? Dowmload and upload speed,je zina tofauti gani na hizi wanazouza voda or tigo etc zinazoingia laini, lainiz ao tu,wakuu nijuzeni nataka ninunue ila sina exprince nazo