Exformer
JF-Expert Member
- Nov 12, 2018
- 837
- 946
Wadau nimekuwa nikisoma hasa google namna ya kutweek imei za simu ili kupata zile unlimited bundles ila huwa sielew namna ya kufanya aisee maaan weng wanaelezea kwa mitandao ya kwao huko hasa ghana, nigeria na kwingneko.
Naomba kufaham kama kuna mdau anafaham tweeks hizo atufundishe hapa ili na sisi tufurahie unlimited bundles.
Yaani upate 10 GB kwa wiki au mwezi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kufaham kama kuna mdau anafaham tweeks hizo atufundishe hapa ili na sisi tufurahie unlimited bundles.
Yaani upate 10 GB kwa wiki au mwezi.
Sent using Jamii Forums mobile app