DAVID PALMER
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 285
- 1,447
Leo nmetoka sehemu A to B. Njia za shotcut sizijui fresh so nkaandika kwenye google map.
Imenionesha njia kibao na ni za uchochoro mno.. najiuliza hii inawezekanaje??
Imenionesha njia kibao na ni za uchochoro mno.. najiuliza hii inawezekanaje??