Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,488
- 2,622
...hiyo avatar,Labda alisahaulika
.una hamu ya kupimwa mkojo?
.hawakosagi sababu!
...hiyo avatar,Labda alisahaulika
Majibu ya kibavicha haya.We ni kenge sana aisee!! Nkamia anawasilisha ombi la kubadili katiba ili Yohana aongezewe miaka miwili zaidi iwe saba kwa kipindi kimoja!! Mleta mada anataka kujua ufaham wa huyu kumbikumbi hadi awe na wazo la kipumbavu namna hii. Katiba inatuhusu wote sio mali ya ccm. Nakushangaa we kenge unavyodai eti mleta mada anahangaika na mambo yasiyomhusu!!
Aibu. Wahitimu wa mwendokasiKinatakiwa kifungwe. Wahitimu wote wa hiki chuo wana gpa za 4.9 lakini hawawezi kuandika sentensi ya kiswahili iliyonyooka
Yule si alikua kilaza?Unataka sema jesco john pombe sio smart?
Yule alikumbwa msimu wa vilazaHata jesika?
Topic ni CV ya Juma Nkamia mkuu , jitahidi kujikita kwenye mada .Majibu ya kibavicha haya.
Ukipata cv ya mtu itakusaidia nini wewe?Mbowe ni div 0,lakini anawaburuza hata maprofessor huko chadema
Jadilini hilo la kuongeza katiba sio kujadili watu
Hahahaa wejamaa wewe.Bungeni kuna watu wawili pekee kupata historia za elimu zao ni kazi sana Mbowe na Nkamia,wengine wote zinajulikana mf Kibajaji ,Musukuma na Kubenea ukiwaambia kuspell Comprehensive au waachie ubunge watachagua kuachia ubunge
Basi inatosha jamani,ukichukulia hii lugha sio yetu tuwasamehe bure...Bungeni kuna watu wawili pekee kupata historia za elimu zao ni kazi sana Mbowe na Nkamia,wengine wote zinajulikana mf Kibajaji ,Musukuma na Kubenea ukiwaambia kuspell Comprehensive au waachie ubunge watachagua kuachia ubunge
hahaaaa msitudharau wahitimu wa UDOM tumeshika nyadhifa kwenye hizi taasisi nyingi tena kimyakimya na hatuna majigambo kabisaaa zaidi ya kupiga kazi tu.Kinatakiwa kifungwe. Wahitimu wote wa hiki chuo wana gpa za 4.9 lakini hawawezi kuandika sentensi ya kiswahili iliyonyooka
Bavicha mkibanwa na tumbo la kuhara mnakimbilia kutafuta cv za watu.
Hebu weka kwanza cv ya Mbowe kabla hujatafuta cv za wabunge wa chama kisichokuhusu
Huyo Msagasumu ni mwongo sana .Hahahaa wejamaa wewe.
Yesca mbona yuko smart!Udom?
Hivi bado kipo hiko chuo? Sijawahi ona mhitimu wa Udom alie smart
ana shahada ya uhusiano wa kimataifa wakat anamaliza tulikua mwaka wa pili ni MTU poa sna sijui kapatwa na nini
Mie nawashangaa jinsi povu livavyowatoka twajivunia kuwa wahitimu wa UDOMhahaaaa msitudharau wahitimu wa UDOM tumeshika nyadhifa kwenye hizi taasisi nyingi tena kimyakimya na hatuna majigambo kabisaaa zaidi ya kupiga kazi tu.
Majibu ya kibavicha haya.
Ukipata cv ya mtu itakusaidia nini wewe?Mbowe ni div 0,lakini anawaburuza hata maprofessor huko chadema
Jadilini hilo la kuongeza katiba sio kujadili watu
Walimfukuza ule msimu wa vilazaYesca mbona yuko smart!
Kinatakiwa kifungwe. Wahitimu wote wa hiki chuo wana gpa za 4.9 lakini hawawezi kuandika sentensi ya kiswahili iliyonyooka