Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,631
- 218,060
Ninachokijua ni kwamba huyu ndiye mbunge wa jimbo duni la Chemba mkoani Dodoma , na aliwahi kuwa kiongozi wa timu ya soka ya Simba ya jijini DSM , aliwahi pia kupiga deiwaka BBC , japo alitaka kudanganya umma kwamba aliajiriwa , hata hivyo UKAWA wakamstukia bungeni.
Mwenye mtiririko wake wa elimu na kazi zake atuwekee hapa ili tumjue tupate kumjadili kwa haki .
Mwenye mtiririko wake wa elimu na kazi zake atuwekee hapa ili tumjue tupate kumjadili kwa haki .