Naomba kuifahamu CV ya Juma Nkamia

Ninachokijua ni kwamba huyu ndiye mbunge wa jimbo duni la Chemba mkoani Dodoma , na aliwahi kuwa kiongozi wa timu ya soka ya Simba ya jijini DSM , aliwahi pia kupiga deiwaka BBC , japo alitaka kudanganya umma kwamba aliajiriwa , hata hivyo UKAWA wakamstukia bungeni.

Mwenye mtiririko wake wa elimu na kazi zake atuwekee hapa ili tumjue ili tupate kumjadili kwa haki .
a481951d9a9ecfe18ce5ebbf8eb91ff0.jpg

Elimu yake ya msingi na secondary ina ukakasi...
 
samahani wanajamvi, kujua CV ya mtu ni muhimu sana ila si lazima sababu unaweza kuwa na PhD za kukariri za bongo na ukawa na akili za darasa la saba tu, ukweli mimi sihitaji kujua CV ya mtu ila huwa nahangaika kupata LOGIC ya jambo la mtu mwingine! ukweli natamani kila mwananchi angekuwa japo na vidigrii viwili, sisi sote brains zingekuwa zinachaji sawasawa! na tungeweza kuzama kujua athari za muda mfupi na za kudumu kwa mtu mmoja mmoja na kwa jamii nzima kwa mambo ya ajabu tunayoyaanzisha kwa wenzetu wasio na kofia tulizonazo! in short wasio mjengoni! hakuna kitu nachukia kama mtu mmoja kuamka na kukurupuka kuanzisha jambo ambalo litagusa watu mil 50 hadi vitukuu vyangu na labda kwa athari mbaya zaidi , kwanini usihangaike na familia yako ndugu!!kwa mtazamo wangu miaka kumi inatosha sana, tena labda ingepunguzwa , katiba is independent of aliekalia kiti, jambo la kuwaza ni je aliepewa kiti akikitumia vibaya kwa manufaa yake na ukoo wake je miaka 14 kutapukutika wangapi bongo kwa njaa na magonjwa na ajali za magari na ajali za silaha kama SMG? je hujui kuwa madaraka hulevya watu wakajisahau kuwa wao ni binadamu na kujifanya miungu watu kwa kuwa wanaweza kuagiza mtu akamatwe, ateswe au auwawe wakijisikia tu? je hukuwaza kuwa mkuu akiwa na udikteta hakuna boma litasalimika hata la kwako, mf mkuu anaweza kuagiza nchi nzima iwe inalala saa nane mchana , wewe na familia yako mtatoka nje saa nane mchana? ziko wapi fikra pevu za baba Nyerere aliekwenda zake na kapu lote la akili na weledi? tumebaki makapi tupu! japo naelewa siku sote mwenye shibe hamjui mwenye njaa! mimi ni mkereketwa wa kutupa wa kiongozi wetu na muumini wa kijani asietetereka ila siamini katakata katika kuongeza miaka ya kiti cha uraisi, tunapowaza mabadiliko ya katiba tuwaze siku sisi tukiwa mavumbi je watoto wajukuu na vitukuu vyetu wataumia au watanufaika , tusijiwazie sisi tu na matumbo yetu na tusiwaze ya leo tu!tuwaze aliepewa rungu atalitumiaje kwa miaka kumi nne? that is too much time brother muanzilishi wa mada! laiti wabongo wote wangekuwa na elimu ya juu wangezama na kuchambua athari za kudumu kwa maisha yao na uzao zao kwa unachokianzisha naamini wasingetamani kuwa na mwakilishi wa dizaini hizi!
Wewe naye unajifanya mjuaji wakati unaandika bila kuweka space
 
Sidhani kama mkoa was Dodoma una mbunge mwenye akili kwa sasa. Labda mazingira yamewaathiri.
 
Kinatakiwa kifungwe. Wahitimu wote wa hiki chuo wana gpa za 4.9 lakini hawawezi kuandika sentensi ya kiswahili iliyonyooka
G.P.A ya 4.9,UDOM ya sasa au ile ya wale waliojichukulia madigrii yenye ma G.P.A makubwa enzi zile,jaribu kumpeleka ndugu au rafiki yako pale hasa College of Education halafu alete mrejesho.
 
Ninachokijua ni kwamba huyu ndiye mbunge wa jimbo duni la Chemba mkoani Dodoma , na aliwahi kuwa kiongozi wa timu ya soka ya Simba ya jijini DSM , aliwahi pia kupiga deiwaka BBC , japo alitaka kudanganya umma kwamba aliajiriwa , hata hivyo UKAWA wakamstukia bungeni.

Mwenye mtiririko wake wa elimu na kazi zake atuwekee hapa ili tumjue ili tupate kumjadili kwa haki .
Alikuwa Msemaji wa Simba...lakini si wa kiwango cha mkali Sunday Manara bali kiwango cha kilaza Jerry Muro kipindi kile yupo Yanga
 
Bungeni kuna watu wawili pekee kupata historia za elimu zao ni kazi sana Mbowe na Nkamia,wengine wote zinajulikana mf Kibajaji ,Musukuma na Kubenea ukiwaambia kuspell Comprehensive au waachie ubunge watachagua kuachia ubunge
Hah hah hah hah, wewe hauko serious. Yaani kutamka neno COMPREHENSIVE ni mtihani mgumu kwa hao jamaa?!
 
Tumemaliza nae Kmalz
Kmagumash sana full kufanyiwa asignment na kuonga malecturers wambebe na wamembeba kweli kweli na ndo mazala yake tunayashuhudia bungeni. Mwaka wa kwanza na wa pili alkua na sapu nyingi sana nazani ndoo tatu zinajaa
Asante kwa Taarifa mkuu .
 
a481951d9a9ecfe18ce5ebbf8eb91ff0.jpg

Elimu yake secondary ina ukakasi...
Nilienda kwenye kijiji kimoja kwenye jimbo la huyu mpuuzi nikakuta wale watu wa porini wakiomba kibali cha kuhamia porini zaidi eti wanabanwa na watu wanaolima! Nkamia is uncivilized bushman!! Hawezi kuwa na tija yoyote katika dunia ya sasa
 
samahani wanajamvi, kujua CV ya mtu ni muhimu sana ila si lazima sababu unaweza kuwa na PhD za kukariri za bongo na ukawa na akili za darasa la saba tu, ukweli mimi sihitaji kujua CV ya mtu ila huwa nahangaika kupata LOGIC ya jambo la mtu mwingine!

ukweli natamani kila mwananchi angekuwa japo na vidigrii viwili, sisi sote brains zingekuwa zinachaji sawasawa! na tungeweza kuzama kujua athari za muda mfupi na za kudumu kwa mtu mmoja mmoja na kwa jamii nzima kwa mambo ya ajabu tunayoyaanzisha kwa wenzetu wasio na kofia tulizonazo! in short wasio mjengoni!

hakuna kitu nachukia kama mtu mmoja kuamka na kukurupuka kuanzisha jambo ambalo litagusa watu mil 50 hadi vitukuu vyangu na labda kwa athari mbaya zaidi , kwanini usihangaike na familia yako ndugu!!kwa mtazamo wangu miaka kumi inatosha sana, tena labda ingepunguzwa , katiba is independent of aliekalia kiti, jambo la kuwaza ni je aliepewa kiti akikitumia vibaya kwa manufaa yake na ukoo wake je miaka 14 kutapukutika wangapi bongo kwa njaa na magonjwa na ajali za magari na ajali za silaha kama SMG? je hujui kuwa madaraka hulevya watu wakajisahau kuwa wao ni binadamu na kujifanya miungu watu kwa kuwa wanaweza kuagiza mtu akamatwe, ateswe au auwawe wakijisikia tu? je hukuwaza kuwa mkuu akiwa na udikteta hakuna boma litasalimika hata la kwako, mf mkuu anaweza kuagiza nchi nzima iwe inalala saa nane mchana , wewe na familia yako mtatoka nje saa nane mchana? ziko wapi fikra pevu za baba Nyerere aliekwenda zake na kapu lote la akili na weledi? tumebaki makapi tupu! japo naelewa siku sote mwenye shibe hamjui mwenye njaa!

mimi ni mkereketwa wa kutupa wa kiongozi wetu na muumini wa kijani asietetereka ila siamini katakata katika kuongeza miaka ya kiti cha uraisi, tunapowaza mabadiliko ya katiba tuwaze siku sisi tukiwa mavumbi je watoto wajukuu na vitukuu vyetu wataumia au watanufaika , tusijiwazie sisi tu na matumbo yetu na tusiwaze ya leo tu!tuwaze aliepewa rungu atalitumiaje kwa miaka kumi nne? that is too much time brother muanzilishi wa mada! laiti wabongo wote wangekuwa na elimu ya juu wangezama na kuchambua athari za kudumu kwa maisha yao na uzao zao kwa unachokianzisha naamini wasingetamani kuwa na mwakilishi wa dizaini hizi! nchi za Burundi na Rwanda ni wahanga ( watu wamekufa, vilema, wakimbizi) wa suala hili, alieanzisha dude hili ni vizuri pia awe na awe na uwezo wa kuzima balaa yoyote inayoweza kuanzishwa na nguvu ya umma iwapo umma utashindwa kuelewa mantiki yake! awe na pa kuwapeleka wakimbizi nchi yake ikiingia kwenye machafuko!
...yani we pwapwasa unatumiaga nguvu nyingi sana kuandika migazeti irrelevant kabisa uonekane nawe ni smart;
..jifunze kuwa concise,
.shubaaaamit!
 
Bavicha mkibanwa na tumbo la kuhara mnakimbilia kutafuta cv za watu.
Hebu weka kwanza cv ya Mbowe kabla hujatafuta cv za wabunge wa chama kisichokuhusu


We ni kenge sana aisee!! Nkamia anawasilisha ombi la kubadili katiba ili Yohana aongezewe miaka miwili zaidi iwe saba kwa kipindi kimoja!! Mleta mada anataka kujua ufaham wa huyu kumbikumbi hadi awe na wazo la kipumbavu namna hii. Katiba inatuhusu wote sio mali ya ccm. Nakushangaa we kenge unavyodai eti mleta mada anahangaika na mambo yasiyomhusu!!
 
Back
Top Bottom