MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,011
- 6,542
Ahsante mkuu kwa ufafanuzi wako ila hapo uliposema service detail $4,622 sijaelewa unamaanisha nini.View attachment 1302112
Arrival Port Delivery Destination Service Details Total Price DAR ES SALAAM (port) DAR ES SALAAM + Clearing $4,622
Hiyo cost ya gari+clearing,ni vizuri kujua gari ina cc ngapi na aina gani ya gariAhsante mkuu kwa ufafanuzi wako ila hapo uliposema service detail $4,622 sijaelewa unamaanisha nini.
Habari mkuu.Joowzey shukrani sana kwa kutambua na kuthamini huduma zetu boss. Hakuna aliyepata huduma za Kimomwe Motors akajutia badala yake hua wanashangaa kwa nini gharama ni chini zaidi wakija kuagiza nasi tofauti na kwenda sehem nyingine moja kwa moja!!
Kwa sasa Toyota Cami inaanzia 12.5m badala ya bei punguzo ya mwaka jana mwishoni iliyokua 11.5m na Toyota Rush zinafika kwa 15.3m badala ya 14.5m iliyokua bei punguzo kwa mwaka jana. Kwa msaada zaidi piga 0746267740 au tembelea ofisi zetu za Dar es Salaam na MbeyaHabari mkuu.
Naomba kupata mchanganuo wa bei na ushuru kwa mtu anayetaka kuagiza gari aina ya Toyota cami na Toyota Rush.
Mnapatikana wapi na inachukua muda gani mpk gari inakufikia Ist au premio yenye cc ndogo asante.Ukiagiza nasi, Premio zinaanzia 11.7m boss ambayo ni low millge zaidi tupigie 0746267740
Share cost hapaMnapatikana wapi na inachukua muda gani mpk gari inakufikia Ist au premio yenye cc ndogo asante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sorry nikusumbue tena. VIPI kuhusu Toyota VoltzKwa sasa Toyota Cami inaanzia 12.5m badala ya bei punguzo ya mwaka jana mwishoni iliyokua 11.5m na Toyota Rush zinafika kwa 15.3m badala ya 14.5m iliyokua bei punguzo kwa mwaka jana. Kwa msaada zaidi piga 0746267740 au tembelea ofisi zetu za Dar es Salaam na Mbeya
Wala usijali boss, ndio kazi yetu. Voltz nzuri zinaanzia 15m badala ya 14.5m ya punguzo la mwaka jana mwishoniSorry nikusumbue tena. Vp kuhusu Toyota Voltz
Mkuu mimi naomba unipatie bei ya Subaru Imprezza, ya mwaka 2006, cc 1490
Sent using Jamii Forums mobile app
Impreza za 2006 zinaanzia 12.5m boss, ingawa mda mwingine hata kwa 12m unaweza kupata
Hii Kasumba kuwa mnarudisha nyuma oddo meter imekaeje kwa upande wenu? Mnamuhakikishiaje mteja kuwa nyie hamfanyi huo uhuni?Ukiagiza nasi, Premio zinaanzia 11.7m boss ambayo ni low millge zaidi tupigie 0746267740
Salama kabisa boss. Hizo gari zote ulizotaja gharama zake zinaanzia 11m kwa kuagiza. Gari unazoweza kupata kwa walau 9m ni kama vile Sienta, Ractis, Fun Cargo, Porte, Nissan March, Vitz na Nissan Note.Kaka mambo niaje.
Unasikia? Mfano nina bajeti ya 7 to 8 million TZS. Halafu nahitaji Toyota Allion/Premio/Allex. Yenye cc isiyozidi 1500.
Kilomita ziwe wastani, zisiwe chache sana, zisiwe nyingi sana.
Naweza kupata...?? Ama nifute wazo niendelee kusugua benchi?? Ama niongeze laki ngapi?
Halafu mbona Allex kiumbo ni ndogo kulinganisha na kina Premio/Allion lakin zote naonaga zinauzwa bei sawa.. Kwanini?
Hatufanyi huo uhuni kwa kua kwanza mara nyingi hatutumii mitandao ya kijamii kutangaza gari zilizo kwenye stock za wenzetu Japan. Unapopost mara kwa mara mtandaoni gari zinazouzwa kuna hali ya kutaka kuvutia wateja haswa wasio na muda wa kukaa meza moja na muagizaji kuchagua gari husika.Hii Kasumba kuwa mnarudisha nyuma oddo meter imekaeje kwa upande wenu? Mnamuhakikishiaje mteja kuwa nyie hamfanyi huo uhuni?
Unaanzia Wapi Mkuu Kuagiza? Shule Kidogo tafadhali.AGIZA MWENYEWE, UTAPIGA WW