mwana wa Tanzania
Member
- Nov 27, 2019
- 35
- 145
Wanajamvi naomba msaada kwa yeyote mwenye ufahamu na uzoefu wa wakala wa uagizaji magari kutoka nje ambao hawana longo longo.
gari gani nikupe calculation zotewanajamvi naomba msaada kwa yeyote mwenye ufahamu na uzoefu wa wakala wa uagizaji magari kutoka nje ambao hawana longo longo.
KIMOMWEMOTORSwanajamvi naomba msaada kwa yeyote mwenye ufahamu na uzoefu wa wakala wa uagizaji magari kutoka nje ambao hawana longo longo.
Hata hivo jamaa kamsaidia sana, anataka ampe mwanga kabla hajaenda kwa hao mawakala, lakini wewe umeuliza swali la kupumbavu kabisa kama teeneger
za hapa Bongo ujanjaujanja ni mwingi, unaweza kununua gari zilizoibiwa nchi nyingine aukajikuta mikononi mwa interpol, wengi wanatumia magari yao yakishachoka wanapulizia marangi na kuweka chasisi no. na kuyarudisha show room, kwa kifupi ni hatari sana kununua show room za bongo zipo contaminated sanaMbona kuna kampuni..zipo hapa hapa bongo na gari zipo hapa hapa bongo..huna haja tena ya kuagizia japan..mana bei ni sawa kama za japani tu...
Mbona kuna kampuni..zipo hapa hapa bongo na gari zipo hapa hapa bongo..huna haja tena ya kuagizia japan..mana bei ni sawa kama za japani tu...
Toyota premiogari gani nikupe calculation zote
gari gani nikupe calculation zote
Acha kudanganya watu. Waagizaji wote wa Tanzania wanaongeza Milioni au zaidiMbona kuna kampuni..zipo hapa hapa bongo na gari zipo hapa hapa bongo..huna haja tena ya kuagizia japan..mana bei ni sawa kama za japani tu...
Ndio hivyo lazima wataongeza bei tu na wengi wao waongo sana wanarudisha kama nyuma.Kuna kitu niligundua ukiagiza gari mwenyewe tofauti na kwenda Yard au wale ma agents bei ni tofauti
Wale kwenye Yard lazima kama gari mtandaoni ni 11m basi utanunua 12-13m
Hamna mzee,me nimemuita tu..jamaa wapo vizuri,wala hata sipati hyo ya udalaliUnajipigia udalali 10%
Lazma iwe hvyo,sasa unadhani wao faida watapataje?Kuna kitu niligundua ukiagiza gari mwenyewe tofauti na kwenda Yard au wale ma agents bei ni tofauti
Wale kwenye Yard lazima kama gari mtandaoni ni 11m basi utanunua 12-13m
Kama hujui kitu ni Bora ukae kimya tuKwani ameuliza gharama?