Naomba kujua bei ya oil ya gear box ya Toyota sienta,
Pia nikiwasha gari nyakati za asubuhi au injin inapokuwa imepoa huwa inatoa muungurumo wa juu kana kwamba nimekanyaga mafuta... Kisha baada ya dk 1 inatulia.
Sienta inatumia CVT-TC made by Toyota (ukitoa ile deep stick ya kwenye gear box utakuta umeandikiwa use CVT-TC only, sasa ukijichanhanya ukaweka sijui ATF kwisha habari yako.
Pia kuhusu injini kua na idle speed ya juu wakati injin inapokua ya baridi ni kawaida. Inafanya hivo ili injini iwahi kupata its operating temperature, ikifika tu utaona idle speed inapungua to normal speed (600 to 650 RPM).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.