Nyoni NP
Member
- Dec 5, 2018
- 6
- 3
Msaada wa Oil zinazo faa kwa gari aina ya Honda Fit, ni zipi mm tusaidie wataalamu, Oil ya Engine na Gear Box.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa wanaandika kwenye kifuniko.. In most cases, Dextron II
Gearbox.. Engine za Petrol zinatumiaga oil ya SAE 40.Dextron II ni special kwa Engine au ni kaajiri ua Gear box? Hivi mikoani hiyo Oil inapatikana kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie ndo mnaua magari yenu engine oil ya gari yako hiyo kwa matumizi ya dar ni 5w30, 10w30 na gearbox oil huwa wameandika kwenye dipstic yake aina na number ya kutumia kuja zinazotumia dexron 11,111 iv, WS na cvt ila sasa ukiniambia kampuni nzuri za kutumia kuanzia oil hadi gearbox oil mm nitakutajia kuanzia juu hadi chini kwenye uboraGearbox.. Engine za Petrol zinatumiaga oil ya SAE 40.
Wewe unapima ubora wa oil kwa ushabiki wa Simba na Yanga! Ubora wa oil unapimwa sana sana kwa kuangalia Viscosity.Nyie ndo mnaua magari yenu engine oil ya gari yako hiyo kwa matumizi ya dar ni 5w30, 10w30 na gearbox oil huwa wameandika kwenye dipstic yake aina na number ya kutumia kuja zinazotumia dexron 11,111 iv, WS na cvt ila sasa ukiniambia kampuni nzuri za kutumia kuanzia oil hadi gearbox oil mm nitakutajia kuanzia juu hadi chini kwenye ubora...
Recommended SAE viscosity ya oil ya gari za Petrol hususani gari ndogo ni 5w 30, ukiikosa nenda kwa 10w 30...full synthetic.....Hapa inaweza ika Total, Castrol, Oryx na nyinginezo nyiiingi..Wewe unapima ubora wa oil kwa ushabiki wa Simba na Yanga! Ubora wa oil unapimwa sana sana kwa kuangalia Viscosity.
Jambo la kwanza Bima yako imeisha muda tangu 23/12/2019 Faini yake nitumie inboxNina honda fit meaka wa tatu
Engine na Gea box oil natumia kampuni ya Castrol....
Gear box oil ipo kwenye kopo la lita moja rangi ya njano, zi aingia Lita nne au tatu na nusu..
Kwa maelezo yake engine oil anayozungumzia ni ile 20w50 API SJ ambayo kiukweli sio engine oil recommended kwa gari yakeJambo la kwanza Bima yako imeisha muda tangu 23/12/2019.....Faini yake nitumie inbox
Jambo la pili, nakupongeza sana kwa kumiliki chombo..
Jambo la tatu, hiyo Engine oil unayotumia ni SAE 40 au 5w30..
Sent using Jamii Forums mobile app
Somo la oil na aina mbalimbali za vilainishi ni pana sana lakini itoshe tu kusema oil inabadilishwa kulingana na matumizi ya gari. Unashauriwa kutumia oil ambayo ni synthetic na kama unaitumia mara kwa mara hakikisha unabadili kati ya km5000- 7500 ila kama umeweka oil ambayo ni mineral unatakiwa uibadilishe baada ya km 2000-2500.Asante sana Mkuu, nakushukuru mno! Mimi ninamiliki ni hii hapa kwenye picha Honda Fit ya Mwaka 2002, Nyeusi. Ni kweli gari hizi zinakimbia sana, na kichanganya haraka sana.
SAMAHANI KWA KUKUSUMBUA unisaidie tena mana hii Honda Fit nina muda mfupi tu tangu niagize , toka Japani Kuja Bongo.
1. Oil ya Engine ya Castrol ukiweka unatembea Kilometa ngapi? 3,000KM au 5,000KM?
2. Oil ya Gear Box ya Castrol ukiweka unatembea 5,000KM au 10,000KM?
3. Umecheki Honda yako inakwenda Kilometer ngapi kwa Lita 1?View attachment 1422660View attachment 1422673
Sent using Jamii Forums mobile app
Honda fit inatumia Gear Box oil ATF DW1 na inabadilishwa 30,000-50,000KmSomo la oil na aina mbalimbali za vilainishi ni pana sana lakini itoshe tu kusema oil inabadilishwa kulingana na matumizi ya gari
Unashauriwa kutumia oil ambayo ni synthetic na kama unaitumia mara kwa mara hakikisha unabadili kati ya km5000- 7500 ila kama umeweka oil ambayo ni mineral unatakiwa uibadilishe baada ya km 2000-2500. Na kuhusu gearbox oil kama umeweka ambayo ni recommended na ambayo imekidh vigezo vya watengenezaji unashauriwa kubadili kila baada ya km 20000-25k
Sent using Jamii Forums mobile app
Honda fit inatumia Gear Box oil ATF DW1 na inabadilishwa 30,000-50,000KmMsaada wa Oil zinazo faa kwa gari aina ya Honda Fit, ni zipi mm tusaidie wataalamu, Oil ya Engine na Gear Box
Sent using Jamii Forums mobile app
Haifai kukariri, kila gari inakuwa na maelekezo yake. Kwa sasa gari ndogo zinatumia oil za .....w.....Gearbox.. Engine za Petrol zinatumiaga oil ya SAE 40.
Hahah, hizo picha ni za zamani sana mkuu.Jambo la kwanza Bima yako imeisha muda tangu 23/12/2019.....Faini yake nitumie inbox
Jambo la pili, nakupongeza sana kwa kumiliki chombo..
Jambo la tatu, hiyo Engine oil unayotumia ni SAE 40 au 5w30..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hivi engine oil ya mobil hapa bongo hamna?Nyie ndo mnaua magari yenu engine oil ya gari yako hiyo kwa matumizi ya dar ni 5w30, 10w30 na gearbox oil huwa wameandika kwenye dipstic yake aina na number ya kutumia kuja zinazotumia dexron 11,111 iv, WS na cvt ila sasa ukiniambia kampuni nzuri za kutumia kuanzia oil hadi gearbox oil mm nitakutajia kuanzia juu hadi chini kwenye ubora
01- liquimoly
02 castrol oil...
Hizo hazipo mkuu nadhan ni kwa vile bei zake zipo juu mno ndo maana watu wanakwepa kuziweka dukaniMkuu hivi engine oil ya mobil hapa bongo hamna?