Naomba kufahamu madhara bangi

Jbst

JF-Expert Member
Nov 29, 2020
1,924
3,951
Kwema wakuu? Bila kupoteza muda, nina mshikaji wangu wa toka utoto kabisa kabla hatujaanza hata shule ya msingi ambaye tunapiga kazi pamoja tunashirikiana ila kila mtu anaishi kivyake.

Huyu rafik yangu alianza kuvuta bangi tukiwa form three kwa kujificha ila kwangu hajawai kujificha toka enzi hizo tupo watoto wa secondari.

Lengo la huu uzi nataka kufahamu madhara ya bangi maana huyu ndugu yangu kwasasa amezidi kupita kiasi kuvuta bangi yaan kama tukiwa free tu jamaa anavuta muda wote bangi kama vile anakunywa maji!!

Kwasasa amekuwa mtu wa kupuliza sana kupita kiasi tofaut na zaman sasa nataka kufahamu kama kuna madhara anayoweza kupata.

NB, sijawahi kumshauri kuacha kuvuta kwasababu hiyo ni starehe yake na mimi hajawai kunishauri kuacha starehe zangu nazozifanya. Huyu msela wangu tumetoka mbali yaan siwezi kumtupa kabisa.

Naomba kufahamu kama kuna madhara ili nijaribu kumkumbusha kidogo kwasabau kwasasa anavuta kupitiliza. Ila kuhusu mambo ya kazi yupo vizuri sana.
 
Ukielewa utaweza.kuzuia bangi
View attachment 2529901
View attachment 2529902
View attachment 2529903
images%20(63).jpg

View attachment 2529905
View attachment 2529904
 
Sijawahi kuona madhara ya bangi, wengi inaowapa shida ni wale wanaoichanganya na pombe!

Huwa na waza ni nani alishauri bangi ni kitu haramu wakati mtu akivuta bangi anapiga job kisawasawa!

Kitu cha kuharamisha ilitakiwa kiwe pombe maana mtu akishakunywa pombe ufanisi wa kazi na kufikiri vinapungua wengine hadi wanalala mtaroni+kujikojolea!

Bangi iheshimiwe!
 
Inategemea na kichwa cha mvutaji mwenyewe.
M
Kwema wakuu? Bila kupoteza muda, nina mshikaji wangu wa toka utoto kabisa kabla hatujaanza hata shule ya msingi ambaye tunapiga kazi pamoja tunashirikiana ila kila mtu anaishi kivyake.

Huyu rafik yangu alianza kuvuta bangi tukiwa form three kwa kujificha ila kwangu hajawai kujificha toka enzi hizo tupo watoto wa secondari.

Lengo la huu uzi nataka kufahamu madhara ya bangi maana huyu ndugu yangu kwasasa amezidi kupita kiasi kuvuta bangi yaan kama tukiwa free tu jamaa anavuta muda wote bangi kama vile anakunywa maji!!

Kwasasa amekuwa mtu wa kupuliza sana kupita kiasi tofaut na zaman sasa nataka kufahamu kama kuna madhara anayoweza kupata.

NB, sijawahi kumshauri kuacha kuvuta kwasababu hiyo ni starehe yake na mimi hajawai kunishauri kuacha starehe zangu nazozifanya. Huyu msela wangu tumetoka mbali yaan siwezi kumtupa kabisa.

Naomba kufahamu kama kuna madhara ili nijaribu kumkumbusha kidogo kwasabau kwasasa anavuta kupitiliza. Ila kuhusu mambo ya kazi yupo vizuri sana.
 
Bangi haina madhara labda ukizidisha maana kitu chochote ukizidisha kina madgara iwe soda, papuchi, bia n.k
Watu wanaosema ina madhara ni wale wasiotumia wanaoona wanaotumia kuwa wanafaidi sana.
 
Mmmh navo ogopa wavuta bangi,sitaki hata mazoeya nao.Maana madishi yao sometimes yes, sometimes no.
 
Title yako ulikua unaandika Kama unawahi kumzidi mtu mwingine asijeandika Ila mada yako ilizunguzwa Sana humu jf
 
Kwema wakuu? Bila kupoteza muda, nina mshikaji wangu wa toka utoto kabisa kabla hatujaanza hata shule ya msingi ambaye tunapiga kazi pamoja tunashirikiana ila kila mtu anaishi kivyake.

Huyu rafik yangu alianza kuvuta bangi tukiwa form three kwa kujificha ila kwangu hajawai kujificha toka enzi hizo tupo watoto wa secondari.

Lengo la huu uzi nataka kufahamu madhara ya bangi maana huyu ndugu yangu kwasasa amezidi kupita kiasi kuvuta bangi yaan kama tukiwa free tu jamaa anavuta muda wote bangi kama vile anakunywa maji!!

Kwasasa amekuwa mtu wa kupuliza sana kupita kiasi tofaut na zaman sasa nataka kufahamu kama kuna madhara anayoweza kupata.

NB, sijawahi kumshauri kuacha kuvuta kwasababu hiyo ni starehe yake na mimi hajawai kunishauri kuacha starehe zangu nazozifanya. Huyu msela wangu tumetoka mbali yaan siwezi kumtupa kabisa.

Naomba kufahamu kama kuna madhara ili nijaribu kumkumbusha kidogo kwasabau kwasasa anavuta kupitiliza. Ila kuhusu mambo ya kazi yupo vizuri sana.
Hallucinations!
 
Title yako ulikua unaandika Kama unawahi kumzidi mtu mwingine asijeandika Ila mada yako ilizunguzwa Sana humu jf
Huwa nashangaa mtu badala ya kujibu au kuchangia kilichowekwa hapa anaanza kukosoa !! Kama hukua na cha kuandika hapa ni bora ungepita tu mkuu. Ww unaniapngia title ya kuandika?
 
Bangi, Pombe, sigara zote zina madhara ya muda mfupi na muda mrefu. Ya kisaikolojia, kijamii, kimwili na ya kiafya.

Kimwili.
1. Watumiahi wa hivyo vitu huonekana kizeeka. Mwili unakuwa miaka 20 mbele.

2. Mwili huwa na uchovu wakati wote hivyo kupunguza ufanisi wa kazi. Anapo zimua au kupata hivyo vilevi ana gain nguvu kidogo lakini baada ya muda kidogo huchoka tena....hivyo huendelea kupata na kupata kujaribu kuondoa uchovu mwilini.....mtu ambaye hatumii aina ya kilevi chochote mwili wake huwa na nguvu na na anakuwa na uwezo wa kufanya kazi mida mrefu bila kuchoka. Hii inapelekea watu wanaotumia vilevi hivi kuwa na maendeleo duni ya kiuchumi kwa sababbu performance zao zinashuka.
3. Kushindwa kula vizuri hivyo kuathiri nguvu na perfomance ya mwili

Kijamii.
1. Wengi wanaotumia hivi vilevi kwa wingi hutengwa na jamii maana inawaona kama watu ambao hawako serious. Huwezi kumpa kazi nyeti mtu unaye mjua ni mvuta bangi au mlevi.

2. Watu wanaotumia hivi vilevi hujitenga wenyewe na jamii. Hivyo kukosa fursa.

Kiafya
1. Vilevi huathiri afya..kuanzia mfumo wa upumuaji na uchakataji.wa taka chafu. Wengi hupata magonjwa ya moyo, pressure,
mapafu na figo.

Kisaikolojia.
1. Mambo yote hayo hapo juu huathiri saikolojia ya mtumiaji na hivyo kupelekea kwenye uraibu na hatimaye kutengwa na jamii.
 
1.Kwanza hongra kwa kuwa hujawahi kumshauri..
2.bangi as bangi haishauriki(kuacha) na mtu..(labda mvutaji mwenyewe)..
3.bangi haina madhara mentally...zina madhara tabia zako kabla ya kuvuta..
4.bangi ni kwa elevated mind..

USIACHE KUVUTA BANGI..

5.bangi inavutwa asubuhi na jioni..
6.bangi ni kete ya kwanza,zile nyingine mbwembwe..
7.BANGI,KAYA,BULU,MSUBA,NGWAI,KIGONGO,KIJITI,KITU,MASHUTI,CHUMA,GANJA,MARIJUANA,WEED....NK..
8.vuta bangi kama hakuna kesho..
9.bangi kete 10 zinatosha kwa siku..

10.USIACHE KUVUTA BANGI,VUTA BANGI ILI UZAO WAKO UVUTE BANGE..
 
Kuna mamlaka za nchi kubwa duniani wameruhusu matumizi ya bangi! Tena nchi zenye scientists wabobezi kuliko hawa wetu, ambapo uchunguzi wao wameona bangi ivutwe for free katka nchi zao. Sasa sjui hawakuyaona hayo madhara
 
Back
Top Bottom