Ramark
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 1,989
- 1,440
Sehemu ya afrika inayoweza kukumbwa na tsunami ni mini kama Sudan na somalia pia CapetownMateteko yameanza Barani Asia na Marekani zaidi ya miaka 1000 iliyopita.
Sababu ni rahisi sana ule ukanda unakitu kinaitwa "The Ring of fire" ambapo sahani (Tectonic Plates) ya Pasikifi na Amerika kaskazini zinasigana sana. Upande mwingine wanasayansi wanasema sahani ya India na Ulaya-Asia (Eurasian) nazo zimepandana sana na zinasigana hivyo matetemeko ni mengi tu. Ndiyo maana kinachotokea Japan huwa kinatokea na baadhi ya sehemu za Marekani na visiwa vya Karibeani.
HAARP tumesikia habari zake nyingi sana,
Iliyonistua ni ile kudai kwamba jaribio lao moja lilienda vibaya na kusababisha yale madhara ya nchini Haiti.
Najua kila kitu kinawezekana chini ya jua maana kama watu wanatengeneza mvua za mabomu basi hata kucheza na hali ya hewa kwa dunia hii inawezekana pia. Japo, sidhani kama yale matetemeko ya Uchina, Japan na India chanzo ni Mataifa makubwa kama wanavyodai. Maana kama wangekuwa na uwezo wa kusababisha zile Tsunami na Katrina basi watu kama sisi huku Afrika tungekuwa tushafutiliwa mbali muda mrefu sana na wakaja kujichotea mali zao.
Sio mini migumu kama hii huku isiyo tepe wala. Ukanda unaoweza athuriwa na bahar