BestFundi
Senior Member
- Sep 9, 2020
- 156
- 190
Daaaj
ðŸ˜ðŸ˜Hiyo hapo hebu ichekini je jamaa walikufa?
View attachment 1962214
ðŸ˜ðŸ˜Hiyo hapo hebu ichekini je jamaa walikufa?
View attachment 1962214
Hizo sio zile camera za kwenye gari juu?Itakua simu iliokotwa
Hivi unafunguaje mi nashindwaHiyo hapo hebu ichekini je jamaa walikufa?
View attachment 1962214
Duuh hawa walikuwa kwenye party ya mwishoNgoja nkupandishie uwaone na hawa..
Walichokuwa wanakitafuta wameligeti
Ova
Sizani kama ni dashboard camera, hii iko nyuma yao na dashboard inaonekana, hii itakuwa na jina jingineDashboard Camera hiyo gari ikipata ajali wenye kampuni wanakuja kuangalia chanzo hata magari ya kawaida mengi yamefungwa hizo Camera na kujua watekaji pia hasa kwa Nchi zisizo salama..
Mjinga sana ww! nimeishia kucheka tuNiliiona mpaka mwisho ila nilipoiriwaindi wakapona, kweli mungu mkuu.
Hapana mkuu,kuna madereva wengine ni wazoefu mpaka kufikia kiwango cha kuchagua aina ya ajali na namna ya kuiendea hiyo ajali ili kupunguza au kutokuwa na vifo kabisa na kuokoa mali (gari)Hii kitu mbaya sana, ishawi kutukuta wakati tunasafirisha msiba, dereva alifuata iveco iliyokuwa imebeba maiti vile iveco inamaliza kuover take lori sie tupo ubavuni, hamadi fuso hiyo. Dereva wetu wa Coaster alikula chocho sema gari ilipaa na kwenda kutua kwenye migomba na ndio kilichosaidia. Bahati nzuri gari haikupinduka na wala hakuna aliyeumia. Hapo ndo niliona Ukuu wa Mungu!!!!
Kwenye mazishi utasikia kifo sijui nnDashboard Camera hiyo gari ikipata ajali wenye kampuni wanakuja kuangalia chanzo hata magari ya kawaida mengi yamefungwa hizo Camera na kujua watekaji pia hasa kwa Nchi zisizo salama..
sasa unalia nini ?Ndiyo maana nikasema ni vigumu, na wakati mwingine jibu utakalopata ni uongo unaotokana na uvumi. Utasikia ''nasikia walikufa wote''. Mwingine anasema ''mbona wala hawakuumia!''. NB: Fikiria kabla ya kubwabwaja. Hii ni forum na kila mtu anatoa mchango wake ili kupanua mjadala na mawazo. Kutojua kilichowapata hakufanyi mtu asichangie. Mbona wewe umechangia na huna jibu?