Naomba kufahamu kama hawa jamaa walikufa au walipona

Dashboard Camera hiyo gari ikipata ajali wenye kampuni wanakuja kuangalia chanzo hata magari ya kawaida mengi yamefungwa hizo Camera na kujua watekaji pia hasa kwa Nchi zisizo salama..
 
Dashboard Camera hiyo gari ikipata ajali wenye kampuni wanakuja kuangalia chanzo hata magari ya kawaida mengi yamefungwa hizo Camera na kujua watekaji pia hasa kwa Nchi zisizo salama..
Sizani kama ni dashboard camera, hii iko nyuma yao na dashboard inaonekana, hii itakuwa na jina jingine
 
Hii kitu mbaya sana, ishawi kutukuta wakati tunasafirisha msiba, dereva alifuata iveco iliyokuwa imebeba maiti vile iveco inamaliza kuover take lori sie tupo ubavuni, hamadi fuso hiyo. Dereva wetu wa Coaster alikula chocho sema gari ilipaa na kwenda kutua kwenye migomba na ndio kilichosaidia. Bahati nzuri gari haikupinduka na wala hakuna aliyeumia. Hapo ndo niliona Ukuu wa Mungu!!!!
Hapana mkuu,kuna madereva wengine ni wazoefu mpaka kufikia kiwango cha kuchagua aina ya ajali na namna ya kuiendea hiyo ajali ili kupunguza au kutokuwa na vifo kabisa na kuokoa mali (gari)
 
Dashboard Camera hiyo gari ikipata ajali wenye kampuni wanakuja kuangalia chanzo hata magari ya kawaida mengi yamefungwa hizo Camera na kujua watekaji pia hasa kwa Nchi zisizo salama..
Kwenye mazishi utasikia kifo sijui nn
 
Ndiyo maana nikasema ni vigumu, na wakati mwingine jibu utakalopata ni uongo unaotokana na uvumi. Utasikia ''nasikia walikufa wote''. Mwingine anasema ''mbona wala hawakuumia!''. NB: Fikiria kabla ya kubwabwaja. Hii ni forum na kila mtu anatoa mchango wake ili kupanua mjadala na mawazo. Kutojua kilichowapata hakufanyi mtu asichangie. Mbona wewe umechangia na huna jibu?
sasa unalia nini ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom