Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,298
- 219,539
Ninamaanisha huyu Mwenyekiti anayeongoza hivi Vikao vya kupokea maoni ya wadau kwenye miswada ya Sheria za Uchaguzi iliyopelekwa Bungeni .
Ifahamike kwamba Utumishi wa Umma siyo jambo la siri , hivyo kuomba Wasifu wa Mtu huyo si kosa kisheria , bali hatutaki kujua lolote kuhusu familia yake wala kabila lake .
Naomba Kuwasilisha .
Ifahamike kwamba Utumishi wa Umma siyo jambo la siri , hivyo kuomba Wasifu wa Mtu huyo si kosa kisheria , bali hatutaki kujua lolote kuhusu familia yake wala kabila lake .
Naomba Kuwasilisha .