Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,252
- 34,202
Aiseee...!!Kama utataka ujue mambo kwa vitendo ni vizuri uje Atc
Ila kama unataka kujua mambo darasani nenda DIT
Aiseee...!!Kama utataka ujue mambo kwa vitendo ni vizuri uje Atc
Ila kama unataka kujua mambo darasani nenda DIT
Naomba link ya college hii mkuuIko hapa USA, niko florida CAMPUS nasoma space engineering ila waeza tembelea website ya hii college.
Aisee..!!UDSM ni full package katika mambo ya engineering kwa hapa tanzania
Nadhani nimekosea hapo,, nilitak kusema mhandisiUnajua maana ya Mkandarasi?
Maswala ya practicals mnawazidi ATC kwa upande wa mechanical mkuu??UDSM ni full package katika mambo ya engineering kwa hapa tanzania
Unawezaje kucompare chuo chenye uwezo wa kutoa mpk masters ya mechanical engineering and industrial services na chuo chenye uwezo wa kutoa mwisho diploma ya mechanical engineering? Two different leaguesMaswala ya practicals mnawazidi ATC kwa upande wa mechanical mkuu??
sawa, lkn kuna mwana jukwaa mmoja kasema mnaweza mkawa vema kwenye theories na sio practicals, lina ukweli hili??Unawezaje kucompare chuo chenye uwezo wa kutoa mpk masters ya mechanical engineering and industrial services na chuo chenye uwezo wa kutoa mwisho diploma ya mechanical engineering? Two different leagues
United African University of Tanzania (UAUT)- Bachelor of science in computer engineering and Information TechnologyHabari za saizi wana jukwaa popote pale ulipo ndani ya mipaka ya Tanzania na hata nje.
Kulingana na matokeo ya kidato cha sita, wengi wa wadogo zetu wanatamani kujua vyuo bora vinavotoa kozi za engineering ili waendeleze carier zao.
Ukiaachana na majina ya vyuo, natamani kujua vyuo vinavotoa kweli wahandisi hapa nchini.
Karibuni...
Chuo ambacho mwanafunzi wa engineering hasomi engineering drawings wala engineering mechanics?? Au huo ubora unao usemea wewe ni upi?Water resources engineering nenda chuo cha maji ubungo. hutojutia
Una uhakika na unacho kiongea?Chuo ambacho mwanafunzi wa engineering hasomi engineering drawings wala engineering mechanics?? Au huo ubora unao usemea wewe ni upi?
Unajua maana ya Mkandarasi?
Apo si chini ya mil 600 si ndiyo?
I second you.Aisee kibongo bongo vyuo vyote vinafanana,miundo mbinu bado mibovu hasa katika "practical". Zamani tulikuwa tukiaminishwa ya kuwa DIT kwa Practical wako vizuri,ila ukweli ni kinyume chake.
Wewe kama unapenda kuwa Mhandisi basi fanya juhudi ya kujifunza nje ya darasani na tena ukiwa unaenda field ndiyo usizembee kabisa. Uhandisi huwezi kuupata chuoni,bali kazini,na ukizembea kazini utakuwa Muhandisi jina tu. Mfumo wetu wa elimu bado sana.
Tulio wengi ujuzi tumeupata field na kwenye kazi hasa miradi na kusoma nje ya darasani.
Hiki chuo nadhani bado hakina mda mrefu sana sokoni, kuna kipindi baadhi ya makampuni hasa ya umma walikua hawachukui wanafunzi kutoka hiki chuoMbona St Joseph DMI hakitajwi?