Naomba kufahamishwa vitu muhimu kuhusu Alpha High School

O LEV Ada milioni 4

Advance Ada milioni 5.5 kwa PCB na PCM ,HKL ,HGL,ECA,EGM ,HGE,ada ni chini ya hapo kwenye milioni 5 lakini haizidi 5.3.


Shule ni ya kutwa na bweni, wanaume wanakaa hapo hapo shuleni, wanawake mabweni yao yapo nje ya shule hivyo huwa waanachukuliwa na kurudishwa na magari ya shule.


Kusoma mwisho saa 4 usiku hakuna mambo ya kukesha kesha.


Ni shule ya kisasa na walimu waliobobea


Imekamilika kila kitu .


Ukiwa na swali zaidi niulize.



Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe in Benjamin Mitti au Mzee Mjokava?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijasikiliza historia ya huyo Tanzania One toka Ilboru, na naomba kusema wazi kuwa nayaheshimu mawazo yako lakini sikubaliani na hiyo statement `kama huna akili huna tu`. Kila mtu ana kitu cha tofauti ambacho wengine hawana, ni kweli tunatofautiana kwenye uwezo wa kuelewa mambo lkn hata yule anayeonekana hana akili akiongeza bidii anafanikiwa. Ukweli ni kwamba shule nyingi ambazo zinafaulisha sana huchukua wanafunzi ambao wana uwezo mkubwa darasani hivyo walimu hufanya kazi rahisi sana ya kuwaongezea ujuzi. Lakini kwa zile shule ambazo zinachukua wanafunzi wenye uwezo tofauti, zinahitaji bidii ya ziada ya mwalimu ili kumfanya mwanafunzi mbaya awe mzuri `making the worst the best`. Yeyote yule, hata anayesemakana kutokuwa na akili anaweza kufanya vizuri sana km tu ataongeza nguvu zaidi kwenye kutafuta ujuzi. Ninaamini wote tuna mifano hai hata ya maisha yetu wenyewe au ya wale wanaotuzunguka lkn pia tukiuchukulia mfano wa Ben Carson aliyeandika kitabu cha Think Big, mwanzoni alikuwa ndo `the dumbest child in class`mpaka alipofika la tano, lkn alipobadili mfumo wa maisha na kuanza kusoma sana akabadilika na kuwa `the most intelligent`. Yote yanawezekana.

Na faida za shule zinazofanya vizuri zinamchallenge mtoto kufanya vizuri zaidi, na zile ambazo ni za kawaida akiwa mwanafunzi asiye na bidii binafsi ataishia kuwacheka wenye bidii kuwa wametumwa na kijiji na hivyo kuendelea kufanya uzembe.Ni sawa na mtoto aliyezaliwa kwenye nyumba ya udongo na hajawahi kwenda mahali pengine popote akaona nyumba ya matofali, hawezi kufikiria kujenga nyumba ya tofali kwa sababu mazingira aliyiôkulia hayajamchallenge kabisa unless awe genious na innovator agundue njia zake mpya za kujenga nyumba bora zaidi. Lakini pia wakati mwingine mtihani unaweza kuja vzuri yale uliyoyasoma ndo yanatoka, hapo hata kama mwanafunzi anasemekeana kutokuwa na akili atafaulu tu. kwahiyo mimi naamini elimu ni zaidi ya mtihani na aliyefika form four hata kama kazungusha lazima anakuwa amepata kitu cha tofauti hata ustaarab, jinsi ya kuhîshi na watu na elimu nyinginezo.
Ukweli ni kwamba shule nyingi ambazo zinafaulisha sana huchukua wanafunzi ambao wana uwezo mkubwa darasani hivyo walimu hufanya kazi rahisi sana ya kuwaongezea ujuzi.

nazani kwa kauli hiyo ume weza kujijibu mwenyewe...

kama huna akili ni huna tu... wapo watoto wa viongozi wa nchi hii walipelekwa feza schools wakapata four daraja... shule nzuri zenu hizo za wakina alpha wanapata daraja four... huyu anaye soma ktk shule inayo aminika ni nzuri ina miundombinu na walimu bora na ana pata daraja four je akipelekwa shule za kayumba au government schools zinazo aminika kuwa sio ràfiki kwa wanafunzi nazani atakuwa amepata daraja one...
 
Ukweli ni kwamba shule nyingi ambazo zinafaulisha sana huchukua wanafunzi ambao wana uwezo mkubwa darasani hivyo walimu hufanya kazi rahisi sana ya kuwaongezea ujuzi.

nazani kwa kauli hiyo ume weza kujijibu mwenyewe...

kama huna akili ni huna tu... wapo watoto wa viongozi wa nchi hii walipelekwa feza schools wakapata four daraja... shule nzuri zenu hizo za wakina alpha wanapata daraja four... huyu anaye soma ktk shule inayo aminika ni nzuri ina miundombinu na walimu bora na ana pata daraja four je akipelekwa shule za kayumba au government schools zinazo aminika kuwa sio ràfiki kwa wanafunzi nazani atakuwa amepata daraja one...
nani kakudanganya alpha huchukua wanafunzi wenye uwezo mkubwa sana?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiji pekee Tanzania lenye watu wajanja kuliko wote ambalo watu wa mkoani ni ndoto yao kupaona.Wengi wao wakija huishia kwenye outskirts na hawaligusa jiji hili maana hawewezagi kufika Askari Monument.Hapo ndo penye jiji hilo.Povu ruksa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Walevi wa Chuga wanasema eti Arachuga zaidi ya Dar kwao kule kuna mabilionea lukuki
 
O LEV Ada milioni 4

Advance Ada milioni 5.5 kwa PCB na PCM ,HKL ,HGL,ECA,EGM ,HGE,ada ni chini ya hapo kwenye milioni 5 lakini haizidi 5.3.


Shule ni ya kutwa na bweni, wanaume wanakaa hapo hapo shuleni, wanawake mabweni yao yapo nje ya shule hivyo huwa waanachukuliwa na kurudishwa na magari ya shule.


Kusoma mwisho saa 4 usiku hakuna mambo ya kukesha kesha.


Ni shule ya kisasa na walimu waliobobea


Imekamilika kila kitu .


Ukiwa na swali zaidi niulize.



Sent using Jamii Forums mobile app
Ila wana za miniwagaa kusoma hapo wengi wao ni watot wawenye shidaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nitajie shule hata moja ya serikali inayofaulisha yenyewe kama yenyewe bila nguvu ya wanafunzi kukesha kwenye vibanda umiza kusoma tuitions

Sent using Jamii Forums mobile app
Kibaha sekondari!! Watoto hushauriwa hapo ni bora kununua vitabu vinavyopendekezwa na waalimu wao kuliko kusoma tuition. Nyingi ya tuition hizo hufundishwa na watoto wa form six waliokosa vyuo, wanafunzi wa vyuo wanaotafuta pesa za kujikimu au wahitimu wa chuo wengi wao hawajasomea ualimu. Haop wote ni majanga. Hata wahitimu wa chuo wa kozi za ualimu nao hawana uzoefu wa kufundisha pia hawana msaada mkubwa. Ndio maana Wanafunzi wa Dar japo husoma sana tuition lakini matokeo ya wanafunzi wengi wa Dar siyo mazuri. Kama kusoma tuition kungekuwa kunasaidia basi wanafunzi wa Dar wangekuwa wanaongoza kwa matokeo mazuri lakini ni kinyume chake!!!
 
.
Screenshot_20190221-160008.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom