Naomba Kujuzwa zaidi kuhusu chuo cha IAA kampasi ya DSM
Msaada tutani, ninafikiria kwenda shule mwakani na chaguo ni IAA kusoma masters kwa mwaka mmoja, kuna mradi watanisapoti na kulingana na contents yao naona kama vitu vingi vinafaa. Naomba kuuliza mwenye ufahamu kuhusu ndaki hii, mazingira, shule kiujumla na culture yao.
Kuna target isipofikiwa, mradi utakatisha ufadhili.
Karibuni ndugu kunipatia chakula cha ubongo
Msaada tutani, ninafikiria kwenda shule mwakani na chaguo ni IAA kusoma masters kwa mwaka mmoja, kuna mradi watanisapoti na kulingana na contents yao naona kama vitu vingi vinafaa. Naomba kuuliza mwenye ufahamu kuhusu ndaki hii, mazingira, shule kiujumla na culture yao.
Kuna target isipofikiwa, mradi utakatisha ufadhili.
Karibuni ndugu kunipatia chakula cha ubongo