Emmanuel Msule
Member
- Jun 6, 2016
- 5
- 1
Habari zenu wakuu,
Mimi ni mwajiriwa na nina mkataba wa miaka miwili ambao unaisha tarehe 01/10/2016.
Hivyo, naomba kufahamishwa haki zangu au malipo yoyote baada ya kumaliza mkataba huu wa kazi kabla sijasaini mkataba mwingine. Mfano, kiinua mgongo na malipo mengine.
Nisaidieni wenye utaalamu wa mambo ya sheria na haki za mfanyakazi.
Mimi ni mwajiriwa na nina mkataba wa miaka miwili ambao unaisha tarehe 01/10/2016.
Hivyo, naomba kufahamishwa haki zangu au malipo yoyote baada ya kumaliza mkataba huu wa kazi kabla sijasaini mkataba mwingine. Mfano, kiinua mgongo na malipo mengine.
Nisaidieni wenye utaalamu wa mambo ya sheria na haki za mfanyakazi.