proxy
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 1,481
- 1,356
Mchumba wangu kaenda kupima ili aniridhishe kwamba yupo vizuri. Amekuja na kadi inayoonesha tarehe ya kurudia ni baada ya miezi 3. Je hivi mtu akienda kupima akikutwa hana anapewa nini na je akiwa nao nayo anapewa nini? Naomba wenye uzoefu na hili mnijuze please.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app